- Thread starter
- #21
lala 1 na wewe mpana! hadi aunt bora unamfahamu mamaaa wa kusasambua! Mwenye ziara yake karibu mwanza bana, hili ndo jiji la maji bariiidi
Ahsante mkuu, lara 1 ametisha anamfahamu huyu mtu!
lala 1 na wewe mpana! hadi aunt bora unamfahamu mamaaa wa kusasambua! Mwenye ziara yake karibu mwanza bana, hili ndo jiji la maji bariiidi
haya welcome singida am here
Ukija Arusha karibu Hotelini kwetu Penguin Resort Hotel,Sakina just 70 mt from Nairobi/Moshi road.Penguin Resort Hotel Arusha Tanzania Tukutane hapo mkuu..!Wakuu,
Wadau mlioko mikoa nitakayoitaja hapa chini tunaweza kuonana kama mtakuwa na nafasi, halafu tukafahamiana na kupiga story mbili tatu. Nitakuwa na safari ya kutembelea mikoa ifuatayo, pindi muda utakapopatikana nitapenda kuonana na wadau wa sehemu hizo. Naweka majina ya mikoa na tarehe kama ifuatavyo:
Mwanza: 14 - 16 August 2013
Mara: 16 - 18 // (16 Mwanza na Mara, maana yake tarehe 16 August 2013, natoka Mwanza kuelekea Mara, matarajio ni kufika siku hiyohiyo)
Manyara: 19 - 21 //
Singida: 22 - 24 //
Tanga: 25 - 31 // (Subject to circumstances)
Arusha: 1 - 3 Sept. 2013
Kilimanjaro: 3 - 5 //
Mbeya: 5 - 7 //
Iringa: 7 - 11 //
Sept. 2013, 11 - Mujini
Mkuu ahsante.
Simplicity., pitia na Mtwara kuna wawakilishi wa JF!
huo mda wa kurudi mjini unishtue nije nikupokee hapo terminal,
Cha msingi tusibambikiziane madawa! Poa mkuu.
mbona unajishtukia!!!!!!!!
karibu mwanza
Sijui kama siku yaku-retire impreast atakumbuka data zote hizo.Mkuu hii mzunguko jumla ya imprest si balaa aisee!