Wakuu,
Wadau mlioko mikoa nitakayoitaja hapa chini tunaweza kuonana kama mtakuwa na nafasi, halafu tukafahamiana na kupiga story mbili tatu. Nitakuwa na safari ya kutembelea mikoa ifuatayo, pindi muda utakapopatikana nitapenda kuonana na wadau wa sehemu hizo. Naweka majina ya mikoa na tarehe kama ifuatavyo:
Mwanza: 14 - 16 August 2013
Mara: 16 - 18 // (16 Mwanza na Mara, maana yake tarehe 16 August 2013, natoka Mwanza kuelekea Mara, matarajio ni kufika siku hiyohiyo)
Manyara: 19 - 21 //
Singida: 22 - 24 //
Tanga: 25 - 31 // (Subject to circumstances)
Arusha: 1 - 3 Sept. 2013
Kilimanjaro: 3 - 5 //
Mbeya: 5 - 7 //
Iringa: 7 - 11 //
Sept. 2013, 11 - Mujini
Wadau mlioko mikoa nitakayoitaja hapa chini tunaweza kuonana kama mtakuwa na nafasi, halafu tukafahamiana na kupiga story mbili tatu. Nitakuwa na safari ya kutembelea mikoa ifuatayo, pindi muda utakapopatikana nitapenda kuonana na wadau wa sehemu hizo. Naweka majina ya mikoa na tarehe kama ifuatavyo:
Mwanza: 14 - 16 August 2013
Mara: 16 - 18 // (16 Mwanza na Mara, maana yake tarehe 16 August 2013, natoka Mwanza kuelekea Mara, matarajio ni kufika siku hiyohiyo)
Manyara: 19 - 21 //
Singida: 22 - 24 //
Tanga: 25 - 31 // (Subject to circumstances)
Arusha: 1 - 3 Sept. 2013
Kilimanjaro: 3 - 5 //
Mbeya: 5 - 7 //
Iringa: 7 - 11 //
Sept. 2013, 11 - Mujini