Safari yangu ya dhahabu Botswana

tatizo mijitu ya Jf ni miMuch know sana mam"ae,.,
Jamaa mwenyewe kazingua anasusa bila sababu. Kaomba maoni ya wadau, wadau wengi wamesema leta kama ilivo ila mmoja tu ndo kasema fupisha yeye kachukua maoni ya mmoja kutusurubu.
 
Sasa kama nyie mnampangia namna ya kuwasilisha story yake yeye hapo ana kosa gani?

Wenyewe mnamwambia story ingeshaisha kama sio kuweka maelezo mengi yasiyo ya muhimu. Hapo ameweka summary bado mnalalamika tena?

Binadamu hata tufanyiwe nini haturidhiki asee.
 
Si iwe fupi tu kuliko ndefu na alafu kuiendeleza mpaka mtongozwe.
 
Yani watu wa JF tunashida sana,mtu amejitolea kusimulia story ya maisha yake,na bado watu mnampangia asimulie vipi!!Sio vema wazee tujifunze kuwa na subira na sio kucrash na kumpangia mtu namna ya kusimulia
 
Mkuu..Karibia nyuzi zote za Jf huwezi kosa wajuaji,wazinguaji,mizaha n.k..Hata uongee vipi hao wataendelea kuwepo tu...Jf iko hivyo..Kikubwa ni ww muhusika kustick kwenye plan/lengo lako... Huu alioleta jamaa ni utoto..
 
Kwa hiyo umeamua kukubaliana na hao wapumbavu, wamekutoa kwenye reli na ww umekubali, acha udhaifu huo. Ww andika chochote mwenye kutaka kusoma asome asiyetaka alale mbele.
 
Asilimia 99 wanataka aandike kwa kirefu, boya mmoja ambaye ni asilimia 1 ametaka aandike kwa kifupi, na mwandishi kaamua kumzingatia, yaani mtu mmoja mvivu wa kusoma apangie watu namna ya kuandika. Ujinga huu.
 
Mkuu..Karibia nyuzi zote za Jf huwezi kosa wajuaji,wazinguaji,mizaha n.k..Hata uongee vipi hao wataendelea kuwepo tu...Jf iko hivyo..Kikubwa ni ww muhusika kustick kwenye plan/lengo lako... Huu alioleta jamaa ni utoto..
Ni kweli lakini watu wanatakiwa wajifunze kuwa tuna personalities tofauti tofauti. Kuna mtu angeweza kupuuzia na kuendelea kushusha story lakini kuna mtu mwingine sio mrahisi ku handle huo ukosoaji usiokuwa na maana mwisho wa siku anaona ni heri aache.

Tukumbuke huku hatujuani wote na unaweza kukuta mleta mada ni mtu ana majukumu yake na labda hata ni babu yetu mwengi humu sasa anapojitoa muda wake kusimulia mkasa wake halafu kunakuwa na ujuaji mwingi anaona ni utoto tu bora aache maana hadhira haina ushirikiano.
 
Wewe ndio namba moja kupenda kubembelezwa hapa JF na story zako za uongo halafu zisizoisha. Halafu hapa unasema "msimbebeleze".

Ama kweli nyani haoni kundule. Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu 'maumivu'.

Wewe ni msomaji mzuri wa vitabu na unatazama movie, kuna watu ambao ni vitengo vya kutoa makosa na kufanya rating (mfano Rotten Tomatoes).

Hawa ndiyo kazi yao na watakosoa kila wanachoweza kukosoa.

Unapoamua kuandika, hakikisha kwamba unaweza kupambana nao, kwa sababu wapo tu hawa.

On the other note: Unaanza story, episode ya kwanza ikiisha unasema nitaendelea baadae usiku, usiku unaisha inakuja kesho bado hujaandika, hii nayo unataka tuwabebeshe lawama ponda ponda? Kwa nini usitaje muda ambao una uhakika nao au upige kimya kabisa?
 
Naomb fafanua kila kitu,stor ikiandkw kwa ufup utam hautoonekan
 
Huu uzi ushakua wa kipuuzi,sirudi tena hapa[emoji125][emoji125]
 
Ukishaona watu wanakupangia story ya kuandika, ni vizuri kutopoteza muda wako. Ilipofikia inatosha kiongozi.

Ukishaona watu 2 wabakupangia jinsi ya kuandika na 8 wanakwambia endelea na utaratibu wako, halafu wewe ukafata wanavyotaka 2, achana na kuandika.
 
Critics hao ni professionals na wana criticize kwa kutumia varieties mbali mbali za criticism kama logical criticism, factual criticism, negative criticism, positive criticisms ambazo overall ni jambo zuri.

Tatizo hapa wamejaa critics ambao hawana taaluma yoyote ya kukosoa wao wana focus kwenye negative criticism tu yani mambo wanayokosoa ni nonsensical na kiujumla yana athiri utiririkaji wa mwandishi.

Wewe unaweza kuona ni rahisi lakini hujui jinsi hizo kosoa kosoa za kijinga na ujuaji unavyoweza kumuathiri mtoa mada na kuishia kuona bora aache kusimulia.

In the end hakuna financial gain yoyote anayopata so hana chakupoteza.

Tuwe tunafikiria haya mambo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…