Safari yangu ya dhahabu Botswana

Safari yangu ya dhahabu Botswana

Mkuu bila shaka naona na ww umekuja kupima upepo afu uishie njiani kama mwenzako, lkn kwa uandishi huu i guess hautofika mbali, yan utaukimbia mapema uzi wako mwenyew, maana kama mechi umeenza kwa kutoa boko golini kwako.
Huu ni kama wito wangu ndugu Dudumizi. Kwangu ni wakati sahihi wa ku-share nanyi mambo mbali mbali ya nyuma kidogo huko, ili kufanya maisha yetu yenye kumbukumbu nyingi kubakia hapa siku zote. Kuna mengi hapa kaa tayari.
 
Huu ni kama wito wangu ndugu Dudumizi. Kwangu ni wakati sahihi wa ku-share nanyi mambo mbali mbali ya nyuma kidogo huko, ili kufanya maisha yetu yenye kumbukumbu nyingi kubakia hapa siku zote. Kuna mengi hapa kaa tayari.
Ok mkuu!
 
miaka ya 2000 uko TEMEKE ilikuwa yamoto sana. watu walikuwa wajanja na ujanja ukazidi mpaka kwenda kwenye ujinga (muhuni) mwiisho tukapoteza wana kibao.

mindnight jionii njoo utupe story lakin isiwe chai bora tu.
 
Mku keko matangini maskani gani au kwa Jela Matombo kwani ndo palikuwa makutano au stoo ya kuhifadhia magendo ya bandari
 
Watu tunapenda story ila wasimuliaji ndio wanatuangusha.
 
Mnaanzaga hivi hiv....sio mtie watu arosto afu mkimbie na mnajua sisi ndugu zenu watz hatuna subra
 
Back
Top Bottom