Safari yangu katika kujifunza website development

Safari yangu katika kujifunza website development

Tanzanian kid

Member
Joined
Apr 1, 2025
Posts
98
Reaction score
143
💻 Nilianza na simu yangu. Sio laptop.

Wakati nikiwa chuoni, nilikuwa natumia simu yangu kujifunza HTML na CSS kupitia w3schools na tutorials za YouTube.
Nilitengeneza web pages ndogo ndogo kupitia simu, nikijifunza hatua kwa hatua.

Sikuwa na laptop yangu kwa wakati huo, kwa hiyo nilikuwa naazima laptop za marafiki kadri nilivyopata nafasi.
Pia nilitumia nafasi ya kuwa chuoni — kila venue ilikuwa na sehemu ya Ethernet cable, na nilitumia hiyo access ku-load tutorials na kufanya mazoezi kila nilipopata muda.

Haikuwa rahisi, lakini haikuhitaji kuwa perfect. Ilihitaji tu nia, muda, na uthubutu.

📌 Leo bado najifunza — na bado nasimamia misingi ile ile:
Jifunze na kile ulichonacho. Songa mbele kila siku.

Kama unataka kuingia kwenye tech lakini unahisi huna kila kitu tayari — kumbuka, unaweza kuanza na chochote, hata simu yako.

#TechJourney #CodeWithMe #FrontEndDeveloper #LearningInPublic #HustleMindset #LinkedInTanzania
 
Habari rafiki,
Nimekuwa nikivutiwa sana na mazungumzo kuhusu masuala ya teknolojia, na mimi pia ni miongoni mwa watu wanaotamani kwa Shauku kubwa kujifunza zaidi katika eneo hili. Hadi sasa bado sijapata muongozo wa kutosha, lakini ninaamini kabisa kuwa wewe unaweza kunisaidia kwa mwongozo sahihi na kuwa mshirika mwema katika safari hii ya Kujifunza.

Kwa moyo wa heshima na urafiki, naomba ruhusa yako ili tuweze kuzungumza kwa kina kupitia ujumbe binafsi (PM), ikiwa utakubali.

Ningefurahi sana kuwa rafiki yako kwenye safari hii ya kujifunza.

Asante sana kwa muda wako na kwa kuzingatia ombi langu.
 

Habari rafiki,
Nimekuwa nikivutiwa sana na mazungumzo kuhusu masuala ya teknolojia, na mimi pia ni miongoni mwa watu wanaotamani kwa Shauku kubwa kujifunza zaidi katika eneo hili. Hadi sasa bado sijapata muongozo wa kutosha, lakini ninaamini kabisa kuwa wewe unaweza kunisaidia kwa mwongozo sahihi na kuwa mshirika mwema katika safari hii ya Kujifunza

Kwa moyo wa heshima na urafiki, naomba ruhusa yako ili tuweze kuzungumza kwa kina kupitia ujumbe binafsi (PM), ikiwa utakubali.

Ningefurahi sana kuwa rafiki yako kwenye safari hii ya kujifunza.

Asante sana kwa muda wako na kwa kuzingatia ombi
langu.
Tafadhali rejea thread yangu huu

Nilianza na simu yangu. Sio laptop.

Wakati nikiwa chuoni, nilikuwa natumia simu yangu kujifunza HTML na CSS kupitia w3schools na tutorials za YouTube.
Nilitengeneza web pages ndogo ndogo kupitia simu, nikijifunza hatua kwa hatua.

Sikuwa na laptop yangu kwa wakati huo, kwa hiyo nilikuwa naazima laptop za marafiki kadri nilivyopata nafasi.
Pia nilitumia nafasi ya kuwa chuoni — kila venue ilikuwa na sehemu ya Ethernet cable, na nilitumia hiyo access ku-load tutorials na kufanya mazoezi kila nilipopata muda.

Haikuwa rahisi, lakini haikuhitaji kuwa perfect. Ilihitaji tu nia, muda, na uthubutu.

📌 Leo bado najifunza — na bado nasimamia misingi ile ile:
Jifunze na kile ulichonacho. Songa mbele kila siku.

Kama unataka kuingia kwenye tech lakini unahisi huna kila kitu tayari — kumbuka, unaweza kuanza na chochote, hata simu yako.

#TechJourney #CodeWithMe #FrontEndDeveloper #LearningInPublic #HustleMindset #LinkedInTanzania
 
shida ya vijana wengi wa kibongo , hatuoni kazi zenu.. angalau mkitoa story zenu za mambo ya teck muwe mnaweka na link za website mlizotengeneza , au hata github source code link zake for public project... faida yake ni kubwa kuliko stori za juu juu tu
 
shida ya vijana wengi wa kibongo , hatuoni kazi zenu.. angalau mkitoa story zenu za mambo ya teck muwe mnaweka na link za website mlizotengeneza , au hata github source code link zake for public project... faida yake ni kubwa kuliko stori za juu juu tu
apo mzee umenena maana usikute wanatufunga kamba hakuna wanachofata zaidi ya kujifunza tutorials basi, bila kufanya chochote
 
💻 Nilianza na simu yangu. Sio laptop.

Wakati nikiwa chuoni, nilikuwa natumia simu yangu kujifunza HTML na CSS kupitia w3schools na tutorials za YouTube.
Nilitengeneza web pages ndogo ndogo kupitia simu, nikijifunza hatua kwa hatua.

Sikuwa na laptop yangu kwa wakati huo, kwa hiyo nilikuwa naazima laptop za marafiki kadri nilivyopata nafasi.
Pia nilitumia nafasi ya kuwa chuoni — kila venue ilikuwa na sehemu ya Ethernet cable, na nilitumia hiyo access ku-load tutorials na kufanya mazoezi kila nilipopata muda.

Haikuwa rahisi, lakini haikuhitaji kuwa perfect. Ilihitaji tu nia, muda, na uthubutu.

📌 Leo bado najifunza — na bado nasimamia misingi ile ile:
Jifunze na kile ulichonacho. Songa mbele kila siku.

Kama unataka kuingia kwenye tech lakini unahisi huna kila kitu tayari — kumbuka, unaweza kuanza na chochote, hata simu yako.

#TechJourney #CodeWithMe #FrontEndDeveloper #LearningInPublic #HustleMindset #LinkedInTanzania
Nia Muda na Uthubutu
 
💻 Nilianza na simu yangu. Sio laptop.

Wakati nikiwa chuoni, nilikuwa natumia simu yangu kujifunza HTML na CSS kupitia w3schools na tutorials za YouTube.
Nilitengeneza web pages ndogo ndogo kupitia simu, nikijifunza hatua kwa hatua.

Sikuwa na laptop yangu kwa wakati huo, kwa hiyo nilikuwa naazima laptop za marafiki kadri nilivyopata nafasi.
Pia nilitumia nafasi ya kuwa chuoni — kila venue ilikuwa na sehemu ya Ethernet cable, na nilitumia hiyo access ku-load tutorials na kufanya mazoezi kila nilipopata muda.

Haikuwa rahisi, lakini haikuhitaji kuwa perfect. Ilihitaji tu nia, muda, na uthubutu.

📌 Leo bado najifunza — na bado nasimamia misingi ile ile:
Jifunze na kile ulichonacho. Songa mbele kila siku.

Kama unataka kuingia kwenye tech lakini unahisi huna kila kitu tayari — kumbuka, unaweza kuanza na chochote, hata simu yako.

#TechJourney #CodeWithMe #FrontEndDeveloper #LearningInPublic #HustleMindset #LinkedInTanzania
Ni habari nzuri. Binafsi nimetengeneza website hii kwa kutumia WordPress. Pitia nipe ushauri namna ya kuiboresha. 👇👇🙏

 
Ni habari nzuri. Binafsi nimetengeneza website hii kwa kutumia WordPress. Pitia nipe ushauri namna ya kuiboresha. 👇👇🙏

Nimeiona kaka japo naamini nikiiangalia kwenye laptop itavutia zaidi na zaidi ni nzuri sana kaka
 
shida ya vijana wengi wa kibongo , hatuoni kazi zenu.. angalau mkitoa story zenu za mambo ya teck muwe mnaweka na link za website mlizotengeneza , au hata github source code link zake for public project... faida yake ni kubwa kuliko stori za juu juu tu
Naaam umesema vizuri kaka muda su mrefu nitaanza kuweka vitu nilivyofanya
 
Back
Top Bottom