Safari ya mahusiano (mapenzi)

Safari ya mahusiano (mapenzi)

Ni sawa, Ni akili yako imeona hivo,
Na hatujui umetumia vigezo gani

Ni sawa, Ni akili yako imeona hivo,
Na hatujui umetumia vigezo gani
Unajuwa kitu ambacho wanaume wengi(si wote) huwa tunakosea,ni kudhani kuwa mwanamke ni Kama chombo Fulani(mf baiskeli)ambacho ukiwa nacho unaweza kukitumia mda wowote,mahali popote bila utashi wake wala mipango ilmuradi tu wewe umejisikia kufanya hivo.
 
Mkuu surya ngoja nikupe characteristics of a good story
1.Good character introduction
2.Good explanation of Love and relations
3.Conflict
4.Suspense(very important)
5.Resolution
6.Happy ending.

Story yako imekosa vyote
mkuu inaonekana ulikua vizuri saana kwenye fasihi..lugha na sanaa.. naona umelezea vizuri mno
 
mkuu inaonekana ulikua vizuri saana kwenye fasihi..lugha na sanaa.. naona umelezea vizuri mno
Hahah amna mkuu mbn kuna vingi nmeacha kama Uhalisia wa mazingira/mandhari(setting), mlolongo wa matukio(plot),Lugha na Muundo unaotumika


Hiyo ni Uhakiki wa fani kwenye fasihi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Komaaa na uclinical officer wako...Hizi story waachie wazee wa fasihi andishi.
 
mkuu inaonekana ulikua vizuri saana kwenye fasihi..lugha na sanaa.. naona umelezea vizuri mno
Namba 6. Happy ending.
Sasa niulize mie nimeandika maigizo hapa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom