Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 13,210
- 20,954
Nina safari hivi karibuni kwenda mkoa wa Mara Butiama naomba kujua yafuatayo:
-Je mabasi yanaondoka asbhi saa 12 au muda wowote?
- Safari kutoka Dar mpaka Butiama inachukua masaa mangapi mpaka kufika?
- Sehemu ya kufikia inayoridhisha nikiwa hapo Butiama.
-Je mabasi yanaondoka asbhi saa 12 au muda wowote?
- Safari kutoka Dar mpaka Butiama inachukua masaa mangapi mpaka kufika?
- Sehemu ya kufikia inayoridhisha nikiwa hapo Butiama.