Safari ya kutoka Dar kwenda Butiama Kwa usafiri wa basi

Safari ya kutoka Dar kwenda Butiama Kwa usafiri wa basi

Marco Polo

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2014
Posts
13,210
Reaction score
20,954
Nina safari hivi karibuni kwenda mkoa wa Mara Butiama naomba kujua yafuatayo:

-Je mabasi yanaondoka asbhi saa 12 au muda wowote?

- Safari kutoka Dar mpaka Butiama inachukua masaa mangapi mpaka kufika?

- Sehemu ya kufikia inayoridhisha nikiwa hapo Butiama.
 
Nina safari hivi karibuni kwenda mkoa wa Mara Butiama naomba kujua yafuatayo:

-Je mabasi yanaondoka asbhi saa 12 au muda wowote?

- Safari kutoka Dar mpaka Butiama inachukua masaa mangapi mpaka kufika?

- Sehemu ya kufikia inayoridhisha nikiwa hapo Butiama.
Karibu Butiama, karibu mkoa wa Mara, kuja huku unaweza kuondoka na basi asubuhi au mchana, utatumia masaa 20 mpaka 22 kufika Butiama
 
Nina safari hivi karibuni kwenda mkoa wa Mara Butiama naomba kujua yafuatayo:

-Je mabasi yanaondoka asbhi saa 12 au muda wowote?

- Safari kutoka Dar mpaka Butiama inachukua masaa mangapi mpaka kufika?

- Sehemu ya kufikia inayoridhisha nikiwa hapo Butiama.
Mabasi ya kwenda Butiama utapanda yale yanayoelekea MUSOMA au TARIME.
Yapo mabasi ya HAPPY NATION, ABOOD, JOHANVIA, nk.
Yanaondoka mida unayohitaji wewe kuanzia saa 7 mchana, saa 2 usiku, 12 asbh nk nk.
Nauli Tshs 85,000/=.
Karibu Zanaki/Butiama kwa sasa ni msimu wa Mvua. Hizo stori za ukorofi na ubabe ni vitu vya kusadikika kama stori za mwenye kubeba ng'ombe huko Namanyere.
 
Mabasi ya kwenda Butiama utapanda yale yanayoelekea MUSOMA au TARIME.
Yapo mabasi ya HAPPY NATION, ABOOD, JOHANVIA, nk.
Yanaondoka mida unayohitaji wewe kuanzia saa 7 mchana, saa 2 usiku, 12 asbh nk nk.
Nauli Tshs 85,000/=.
Karibu Zanaki/Butiama kwa sasa ni msimu wa Mvua. Hizo stori za ukorofi na ubabe ni vitu vya kusadikika kama stori za mwenye kubeba ng'ombe huko Namanyere.
Umeandika Kwa ufasaha Kila kitu nilichokuwa nahitaji ahsante sana mkuu.
 
Hakuna basi la kwenda butiama...
Shukia kiabakari na upande bajaj/hiace/probox mpk butiama
Ushauri: panda gari mpk musoma alafu ndio utaenda uko butiama
 
Ukifika butiama , siku upande uende tarime (ni karibu) ule nyma choma , ugali mwekndu na kichuri alafu unapata demu mmoja wa kijaluo tepe tepe , aisee haiuta rudi tena butiama
Hahaa nimekuwa hapo tarime kwa wiki mbili kijiwe kilikuwa Chris pub na Milan
 
Hahaa nimekuwa hapo tarime kwa wiki mbili kijiwe kilikuwa Chris pub na Milan
Hahah hongera mkuuu

Hali ya hewa nzuri, watu hawafatiliani ila madmeu ya kikurya hayajui mambo labda lijaluo
 
Mabasi ya kwenda Butiama utapanda yale yanayoelekea MUSOMA au TARIME.
Yapo mabasi ya HAPPY NATION, ABOOD, JOHANVIA, nk.
Yanaondoka mida unayohitaji wewe kuanzia saa 7 mchana, saa 2 usiku, 12 asbh nk nk.
Nauli Tshs 85,000/=.
Karibu Zanaki/Butiama kwa sasa ni msimu wa Mvua. Hizo stori za ukorofi na ubabe ni vitu vya kusadikika kama stori za mwenye kubeba ng'ombe huko Namanyere.
WEE YA NAMANYERE NILIKUWEPO ACHA KABISA HUO NI UKWELI NA SI KUSADIKIKA
 
Hakuna basi la kwenda butiama...
Shukia kiabakari na upande bajaj/hiace/probox mpk butiama
Ushauri: panda gari mpk musoma alafu ndio utaenda uko butiama
Hiyo kiabakari ndio IPO huko Musoma?
 
Back
Top Bottom