Safari ya kufuata mhogo

Unatafuta hela saa ngapi boss[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa 34 nae ni mwanaume!! Hapo si bado balehe iko kwenye kilele!
Achaneni na hivyo vitoto.
Nimeumia sana na hii quote, 34yrs ni Mwanaume kamili na amekomaa na balehe aliiacha miaka mingi labda tu kama akili yake ndio ya kivulana
 
Katika maisha tunapitia changamoto nyingi mno [emoji16]. Ila tumepewa zawadi ya mapenzi na Muumba Ili kupunguza uchungu tunaokutana nao katika safar nzima ya maisha
Muhogo wa Jang'ombe, sijauramba mwiko Usitukane wakunga, na uzazi ungaliko Muhogo wa Jang'ombe, sijauramba mwiko Usitukane wakunga, na uzazi ungaliko Kaditamati naapa, muhogo sitonunua Haikuwa Maimuna, aliyekwenda ung'oa Kaditamati naapa, muhogo sitonunua
 
Yaan nami naona narudi kulekule[emoji3525]sijui nifanyaje? Mbeya hapa ukimwi upo juujuu hadi naogopa kuliwa,ukimkubali mtu ukimwambia kupima kwanza waingia mitini...nina watoto naogopa nikiharibu afya nimewaumiza wanangu tayari
Afya kwanza ...
 
Hapo kwenye kondomu umekosea/sema uongo

Siwezi kusafiri kilometers zaidi ya 500 kufata k..um!!a halafu nikamto..mb!!e huku ub!!oo nimeuvalisha kondomu (mimi siwezi)

UKIMWI UPO
 
''SAFARI KUFUATA MUHOGO''

Bila kuathiri ulichoandika lakini naomba niseme , hiki ndio kichwa bora cha uzi hapa JF kwa mwaka huu....

What a title
 
Lol.

#Wababawastaafu. ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
 
Pole mwaya sema saa ingine hata haiwagi fundisho kwani usishangae kesho na kesho kutwa unaenda pengine kufuata huo mkasava yaani yote uliyopitia unasahau.
 
Katika maisha tunapitia changamoto nyingi mno [emoji16]. Ila tumepewa zawadi ya mapenzi na Muumba Ili kupunguza uchungu tunaokutana nao katika safar nzima ya maisha
Duh!!! eti mhogo. Unapenda mhogo. Tatizo lenu skuizi mpo wengi sana, tunawasaidia kuwapa mhogo, sasa wee unataka ufaidi peke yako na wenzako watapewa na nani? vzr shea na wengine, acha ubinafsi.

Lazma wanaume tuwamiliki wanawake wengi ili tubalansi pasiwepo wa kukosa mhogo maana, wanawake mko wengi mno.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ