hata sisi tunaweza kumpangia sema bado tumelala angekuwa kila akitaka kuondoka au kurudi anatukuta uwanja wa ndege na mabango ya kutosha angepunguza huu ujinga na watanzania fanyeni kamawanachofanya usaMimi kama President Elect sishabikii sana safari za nje ya nchi, lakini kama ni utaratibu wake kajiwekea unachoweza kufanya kama mwananchi wa kawaida ni kutoa maoni na kumshauri Rais wetu, ila uamuzi wa mwisho ni wake mwenyewe. Nimtakie tu safari njema, na arudi salama.
Moderator! Kama unavyojua raisi wetu Jakaya Kikwete kila kukicha safari za kwenda nje ya nchi haziishi. In average anasafiri at least kwa wiki mara moja kwenda nje ya Tanzania. Cha ajabu kila taarifa ya safari ya huyu bwana mkubwa ikianikwa hapa jamvini immediately umekuwa unaitoa ama unai-combine na threads za safari zake za nyuma. Kwa nini usiache kila thread yenye safari yake ijitegemee?
Mfano: Jana hapa jamvini iliwekwa thread ya JK kuelekea Namibia next Monday, tayari umeshainyofoa jamvini na kui-combine na threads za nyuma. Kwa nini usiache kila safari iwe na thread yake hata kama hizo safari zitafika 1,000,000????
Ama hamtaki mkuu wa nchi kuambiwa ukweli kuhusu safari za nje ya nchi zisizoisha wala kuwa na tija?
Nawasilisha
Hebu fikiri ikiwa kila safari kwa uchache imetumia mil 15x313=4,695,000,000/-
Nani?! Jakaya the navigator?! eeh! hizo safari ni nyingi jumla ya distance ni sawa na Dar mpaka kuzimuInakaribia ya mia nne hiyo.
Wakuu hapa naomba kujua, hizo 313 ni idadi ya safari ama idadi ya siku ambazo amekuwa nje ya nchi?
Kama ni idadi ya safari basi anafaa kuingizwa kwenye Guiness Book of Records na tutumie hilo kama kigezo mojawapo cha kuvutia watalii e.g 'Welcome to Tanzania the land of Kilimanjaro and home to the most traveling President'
Nani?! Jakaya the navigator?! eeh! hizo safari ni nyingi jumla ya distance ni sawa na Dar mpaka kuzimu
Nadhani lengo la mods si baya, ameiweka kama special thread! Nashauli hii thread iende kwa mtindo huuhuu mpaka siku ya kumuaga huyu vasco da gama hii itasaidia kuwa na ushahidi wa kutosha siku ya kumkabidhi cheti chake cha kutambua mchango wake kwa taifa kwa kuvunja recod ya dunia ya kusafiri safari nyingi zaidi nje ya tz zisizo na mafaa!Moderator!
Kama unavyojua raisi wetu Jakaya Kikwete kila kukicha safari za kwenda nje ya nchi haziishi. In average anasafiri at least kwa wiki mara moja kwenda nje ya Tanzania.
Cha ajabu kila taarifa ya safari ya huyu bwana mkubwa ikianikwa hapa jamvini immediately umekuwa unaitoa ama unai-combine na threads za safari zake za nyuma. Kwa nini usiache kila thread yenye safari yake ijitegemee?
Mfano: Jana hapa jamvini iliwekwa thread ya JK kuelekea Namibia next Monday, tayari umeshainyofoa jamvini na kui-combine na threads za nyuma. Kwa nini usiache kila safari iwe na thread yake hata kama hizo safari zitafika 1,000,000????
Ama hamtaki mkuu wa nchi kuambiwa ukweli kuhusu safari za nje ya nchi zisizoisha wala kuwa na tija?
Nawasilisha
hata sisi tunaweza kumpangia sema bado tumelala angekuwa kila akitaka kuondoka au kurudi anatukuta uwanja wa ndege na mabango ya kutosha angepunguza huu ujinga na watanzania fanyeni kamawanachofanya usa