We thubutuuuu! Hello alipokuwa ananunulia madiwani Mnyeti alizitoa wapi? Hela za kununulia wabunge 7 waupinzani unazani ni ndogo? Hela walizogawiwa wabunge wa CCM na Kinana kupitisha mswaada wa Habari je?Ruhusuni CAG akague hayo manunuzi.
Huyo mwenye tenda ya kumchora Twiga tumemkosea nini hasa???
Safi sana, sasa nauli mzishushe na muongeze destination nyingi za ndani ili Watanzania tufaidi kodi zetu.Hayawi hayawi huwa ... kitu kingine cha anga hichoπππππͺπͺπͺβπ«π¬
View attachment 1216706
Hizo ndege ni kwa ajili ya watanzania wote ama ni kwa ajili ya kuwakoga wengine?Utaua watu na pressure mkuu,subiri wafanye uchaguzi wa Mwenyekiti kwanza.