Safari kutoka Mtwara mpaka Comoro

Pemba na Unguja ni ipi hasa ipo karibu na Komoro mbona kama Pemba mbali zaidi
Msimbati Mtwara
Au avuke mto Ruvuma akapandie Quionga,Palma au Mocimboa ndipo vyombo vya Wamakua vinapatikana kwa wingi
Akipita nchi kavu kwa barabara kupitia Mweda, akapandie Pemba ni jirani na kuna maboti
 
Kwa meli ni siku 3 au 4 kuna meli za mizigo zinakuwa hapo bandarini zinapakia cement na mizigo inabidi uongee na agent akuunganishe.

kwa njia Ndege ni mpaka uende Dar es Salaam au Zanzibar
Nina mpango wa kupotea kabisa kwenye hii nchi, vipi huko kunafaa kuendesha maisha?
 
Msimbati Mtwara
Au avuke mto Ruvuma akapandie Quionga,Palma au Mocimboa ndipo vyombo vya Wamakua vinapatikana kwa wingi
Akipita nchi kavu kwa barabara kupitia Mweda, akapandie Pemba ni jirani na kuna maboti
.Mkuu si hayo ni maeneo ya magaidi msumbiji si atakatwa shingo?
 
Habarini ningependa kujua kuhusu usafiri kutoka mtwara mpaka comoros je napataje usafiri,ina gharimu kiasi gani,inachukua muda gani kufika na je usafiri upo kila siku au ikoje?asanteni
Unasafiri wewe ama tenda ya kumsafirisha hpp?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…