Habarini ningependa kujua kuhusu usafiri kutoka mtwara mpaka comoros je napataje usafiri,ina gharimu kiasi gani,inachukua muda gani kufika na je usafiri upo kila siku au ikoje?asanteni
Msimbati Mtwara
Au avuke mto Ruvuma akapandie Quionga,Palma au Mocimboa ndipo vyombo vya Wamakua vinapatikana kwa wingi
Akipita nchi kavu kwa barabara kupitia Mweda, akapandie Pemba ni jirani na kuna maboti
Msimbati Mtwara
Au avuke mto Ruvuma akapandie Quionga,Palma au Mocimboa ndipo vyombo vya Wamakua vinapatikana kwa wingi
Akipita nchi kavu kwa barabara kupitia Mweda, akapandie Pemba ni jirani na kuna maboti
Msimbati Mtwara
Au avuke mto Ruvuma akapandie Quionga,Palma au Mocimboa ndipo vyombo vya Wamakua vinapatikana kwa wingi
Akipita nchi kavu kwa barabara kupitia Mweda, akapandie Pemba ni jirani na kuna maboti
Habarini ningependa kujua kuhusu usafiri kutoka mtwara mpaka comoros je napataje usafiri,ina gharimu kiasi gani,inachukua muda gani kufika na je usafiri upo kila siku au ikoje?asanteni