safari hii urais zamu yetu

safari hii urais zamu yetu

Chama cha Magamba kina protokali yake ya kupeana urais kwa zamu, na 2015 likely atatokea Pemba kama sio Unguja. Sasa kama mnataka mchaga manake itabidi mhakikishe Chadema inashinda haya kazi kwenu, mradi tu msituletee vita ktk jamhuri yetu tukufu.
 
Wachaga ndiyo vichwa ktk biashara so tz itafanya vema wakwere wao ni mabingwa wa kukaa kwenye vijiwe vya kahawa na kushinda ngomani nadhani mmejionea wenyewe tulikotoka na tuliko sasa
 
Chama cha Magamba kina protokali yake ya kupeana urais kwa zamu, na 2015 likely atatokea Pemba kama sio Unguja. Sasa kama mnataka mchaga manake itabidi mhakikishe Chadema inashinda haya kazi kwenu, mradi tu msituletee vita ktk jamhuri yetu tukufu.

watanzania wote mmepewa baraka ya watu fulani wenye uwezo wa kufikiria mbali,kwa nini msiwatumie kurekebisha taifa lenu?
nafikiri kama tunataka mtu wa kututoa hapa tulipo hakuna jinsi tuwape hao jamaa wenye akili kuliko woteeeeeeeeeeeee
 
Mod una maslahi gani na thread hii ya ukabila? Dini na Ukabila ni hatari kwa mstakabali wa Taifa letu,naomba uiondoe thread hii
 
Chama cha Magamba kina protokali yake ya kupeana urais kwa zamu, na 2015 likely atatokea Pemba kama sio Unguja. Sasa kama mnataka mchaga manake itabidi mhakikishe Chadema inashinda haya kazi kwenu, mradi tu msituletee vita ktk jamhuri yetu tukufu.

Salama Mpemba?,

Naona unajipigia chapuo hapo hahaaaaaaaaaaa....

Btw,CHADEMA si wanaweza kumsimamisha Wilbroad Peter Slaa,PHD?...Sidhani kama Slaa ni mchaga....

Itabidi na sie Wasukuma urais uwe zamu yetu safari hii aisee
 
You have disappoint a lot of people with your thread. When we the people of the land need to think hard on how we can get out of all sorts of misery you are thinking like you have missed mtori...I suggest you take Mbege you will think differently......
 
Salama Mpemba?,

Naona unajipigia chapuo hapo hahaaaaaaaaaaa....

Btw,CHADEMA si wanaweza kumsimamisha Wilbroad Peter Slaa,PHD?...Sidhani kama Slaa ni mchaga....

Itabidi na sie Wasukuma urais uwe zamu yetu safari hii aisee

Ngosha you are cracking me up. Taifa linaenda kwa kasi kwene model ya Kodi Vwaa, na watu tunashangilia tu what will be the end of our nation. Kweli waafrika tuna safari ndefu sana kuelekea mafanikio ya kijamii.
 
Propaganda za magamba hizi tuzipotezee tu wanajf
 
watanzania wote mmepewa baraka ya watu fulani wenye uwezo wa kufikiria mbali,kwa nini msiwatumie kurekebisha taifa lenu?
nafikiri kama tunataka mtu wa kututoa hapa tulipo hakuna jinsi tuwape hao jamaa wenye akili kuliko woteeeeeeeeeeeee
AMbao ni akina nani?
 
Ukishaanza ubaguzi ni kama kula nyama ya mtu. Tulianza na mzanzibari uentekiti UVCCM, badae mwanamke spika. Sitishangaa hoja ya rais safari hii burushi au mchagga, si watapendekezwa hao na kura itapigwa?????

Kidumu
 
You have disappoint a lot of people with your thread. When we the people of the land need to think hard on how we can get out of all sorts of misery you are thinking like you have missed mtori...I suggest you take Mbege you will think differently......


i like this
 
Back
Top Bottom