Luoman
Member
- Jul 2, 2020
- 20
- 44
Habari wana jamvi,
Miaka ya 2015-2016 shirika la nyumba la taifa(NHC) lilikuja na plan ya kulifanya jiji la Arusha kuwa miongoni mwa majiji yenye mvuto Afrika.
Wakaja na kitu kinaitwa safari city Arusha au Satellite City, ambapo wangejenga hotels, shopping malls, kumbi za mikutano, makazi bora kwa ajili ya apartment, maduka ya biashara, barabara za kiwango cha juu, maji, umeme pamoja na mambo mengine mengi. Kwa matarajio yao walisema mradi ungeisha ndani ya miaka 3 lakini mpaka leo 2020, haijulikani shirika walifia wapi na mradi wao.
Maana walichofanya ni kujenga tu nyumba zisizozidi 50 wakisema eti ni za mfano na kuwaambia wananchi wanunue viwanja badala ya (NHC) kama shirika wao ndo wajenge nyumba wauze ili waweze kuliingizia taifa pesa
Je, ile plan yao ya mara ya kwanza waliachana nayo? Kama kuna anaejua chochote kuhusu hili jambo atusaidie sisi tusiofahamu maana ata Kenya wana project kama hiyo(Konza City project) nao pia mpaka sasa wamejenga jengo moja tu toka mwaka 2013.
Miaka ya 2015-2016 shirika la nyumba la taifa(NHC) lilikuja na plan ya kulifanya jiji la Arusha kuwa miongoni mwa majiji yenye mvuto Afrika.
Wakaja na kitu kinaitwa safari city Arusha au Satellite City, ambapo wangejenga hotels, shopping malls, kumbi za mikutano, makazi bora kwa ajili ya apartment, maduka ya biashara, barabara za kiwango cha juu, maji, umeme pamoja na mambo mengine mengi. Kwa matarajio yao walisema mradi ungeisha ndani ya miaka 3 lakini mpaka leo 2020, haijulikani shirika walifia wapi na mradi wao.
Maana walichofanya ni kujenga tu nyumba zisizozidi 50 wakisema eti ni za mfano na kuwaambia wananchi wanunue viwanja badala ya (NHC) kama shirika wao ndo wajenge nyumba wauze ili waweze kuliingizia taifa pesa
Je, ile plan yao ya mara ya kwanza waliachana nayo? Kama kuna anaejua chochote kuhusu hili jambo atusaidie sisi tusiofahamu maana ata Kenya wana project kama hiyo(Konza City project) nao pia mpaka sasa wamejenga jengo moja tu toka mwaka 2013.