Gamba la Nyoka
JF-Expert Member
- May 1, 2007
- 7,038
- 9,350
Naona kubenea sasa anafanya " Umalaya" wa kisiasa hana maana tena
Nimeamini njaa inatoa akili jana hafai leo anafaa tena mtakatifu
Waberoya,
..Kikwete, Lowassa, Kinana, na Rostam, ndiyo washirika wakubwa ktk mtandao.
..sasa ni vipi watu wamng'ang'anie Lowassa peke yake huko hao wengine wakipeta?
..kama Richmond ingekuwa ni ya Lowassa basi angeondoka nayo baada ya kujiuzulu uwaziri mkuu.
..lakini Richmond imeendelea kuwepo hata baada ya hapo, na imetakaswa kwanza kwa kuuzwa kwa Dowans, na baadaye Symbion.
..yaani walichofanya hakina tofauti na kutakasa fedha chafu/ money laundering. lakini in this case wametakasa kampuni chafu--richmond-dowans-symbion.
..suala hili ni pana na kubwa kuliko tunavyolijadili hapa JF. naamini akipatikana mtu akachimba zaidi humo atakutana na mambo ya ajabu kabisa kuhusu RUSHWA, UZANDIKI, FITINA,MARAFIKI KUSALITIANA, etc etc. Wanaposema politics is a dirty game basi hatakiwa uangalie mbali zaidi ya hii kashfa ya richmond.
..mvurugano wote unaoendelea ktk siasa za Tanzania chanzo chake ni JK kumgeuka na kumdhulumu Lowassa ktk yamini waliyokula.
cc Pasco, Rev. Kishoka, Nguruvi3, Kimweri, Eric Cartman, Ocampo four
Naona kubenea sasa anafanya " Umalaya" wa kisiasa hana maana tena
You have taken it all wrong unanichekesha
post yangu was specifically kwa Kubenea!! sidhani hata wewe kama unamwona yuko sawasawa kichwani
Kubenea ndio alianzisha mchezo wa kumsakama Lowassa almost kila toleo, LOWASSA AND RICHMOND was there....he did make a lot of money through this topic....Jokakuu sidhani kama ulikuwa unalalamika kwa nini kubenea anamsakama Lowassa
leo watu wanamshangaa Kubenea zaidi kuliko Lowassa!!!
Halafu Jokakuu please acheni hoja za kuwa 'mbona anasakamwa huyu zaidi wengine wanaachwa''
kuna mtu kakuzuia kumsakama Kikwete au Rostam?? since when you have become a wise men to tell people what to say and what not to say??.....hapa umechokoza
The fact is that Kikwete,Lowassa na Rostam ni wezi, majambazi na mafisadi.....ukiikubali hii fact ambayo umeiandika
Then kubali kuwa huwezi kuwasema hawa katika mizani mmoja au frequency moja
Pigana Lowassa aingie ikulu, hii eti huyu anasemwa sana kuliko yule ni utoto tena wa hali ya juu na wewe na hao washirika zako inabidi muone aibu, you are not this low guys common!!
it is just natural!! inatokea tu automatically hata leo wanafunzi wakitoroka usiku na kukamatwa, kuna mmoja ataonekana ndio kinara.................hata watoto wako wakidokoa mboga kuna mmoja utamsema zaidi kulingana na background yake!!
nadhani umenielewa......hayo hapo juu was just by the way
Lakini post yangu ilikuwa inamlenga Kubenea...ambaye bila aibu wala soni anaamua kutembea uchi kwa sababu ya hela na madaraka.....sioni tofauti ya kubenea na machangudoa wanaojiuza!
Huyu kubenea ndio kanifanya nizidi kuchukia upinzani..sio wakweli..sitowaamini tena..bora niwe mwanaccm au neutral niishi bila stress za kisiasa..nilishakula bomu za machozi..sitapigwa tena
..hawa wameanza harakati zao zamani
..mwaka 95 walikuwa pamoja, ila Mwalimu aliwazidi maarifa wote wawili.
..sasa waliendelea kushikamana mpaka walipodhulumiana kwenye richmond.
..95 Lowassa alikuwa na support kubwa zaidi. Jk alikuwa kama msindikizaji tu.
..yamini waliyokula ni kusaidiana ktk harakati zao za kisiasa.
..mtu wao mwingine wa karibu alikuwa capt.ukiwaona ramadhani mwinshehe ditopile mzuzuri.
nb.
..kuna uvumi kwamba plan b ya jk mwaka 2005 ilikuwa kuhamia chadema.
..samuel sitta, mwanamtandao mwingine, naye according to dr.slaa ilikuwa agombee uraisi kupitia cdm mwaka 2010.
Alafu huyu kubenea si ndiye aliyemchafua sana lowassa kabla hajamwagiwa tindikali.