Kwa sasa Chadema Haikwepeki tenaSaed Kubenea wiki ijayo atatambulishwa rasmi Chadema.
Yeye pamoja na viongozi wengine waandamizi wa vyama mbalimbali watatangazwa rasmi wiki ijayo kama nilivyodokezwa jioni ya leo.
ACT wazalendo 😂😂alihamiaga chama gani hivi Kubenea?
Atakuwa amechanganyikiwa kama kweli atarudi kwenye nyoo lifomuSaed Kubenea wiki ijayo atatambulishwa rasmi Chadema.
Yeye pamoja na viongozi wengine waandamizi wa vyama mbalimbali watatangazwa rasmi wiki ijayo kama nilivyodokezwa jioni ya leo.
Kwani lini aliondoka CDM?, Na kama aliondoka alienda wapi.Saed Kubenea wiki ijayo atatambulishwa rasmi Chadema.
Yeye pamoja na viongozi wengine waandamizi wa vyama mbalimbali watatangazwa rasmi wiki ijayo kama nilivyodokezwa jioni ya leo.
Ina maana hapo awali aliondoka sababu ya Ile team ilijiondoa CDM pamoja na uongozi uliopita?Saed Kubenea wiki ijayo atatambulishwa rasmi Chadema.
Yeye pamoja na viongozi wengine waandamizi wa vyama mbalimbali watatangazwa rasmi wiki ijayo kama nilivyodokezwa jioni ya leo.
Akae huko huko aungane na G-55ACT wazalendo 😂😂
Ushauri mujarabu sana huu. Wakifika watulie na sio kukimbilia kupata vyeo. Wawe chini ya uangalizi maalum kujua nyendo zao, na kama ni kukijenga chama mchango wao ueleweke. Cdm imeshaumizwa sana na hawa vigeugeu.Chadema kiwe makini na mamluki wa CCM watakao letwa kuhujumu mabadiliko na kuanza kukipasua chama
Ikiwezekana Lissu akitoka aunde kamati ya watu very potential na waadilifu tofauti na kamati kuu kwa ajili ya kutunza Siri za chama!!
Hakuna haja ya kila mtu kuwa na access ya kila Jambo linaloendelea ndani ya chama
Hatutaki mambo ya kina Lowassa,Sumaye na Nyarandu kujirudia
Kubenea alikuwa na Lisu kule Nccr 😂Akae huko huko aungane na G-55
Mgeni rasmi ni mboweSaed Kubenea wiki ijayo atatambulishwa rasmi Chadema.
Yeye pamoja na viongozi wengine waandamizi wa vyama mbalimbali watatangazwa rasmi wiki ijayo kama nilivyodokezwa jioni ya leo.
kubenea ni spent force, hana mvuto wowote...Saed Kubenea wiki ijayo atatambulishwa rasmi Chadema.
Yeye pamoja na viongozi wengine waandamizi wa vyama mbalimbali watatangazwa rasmi wiki ijayo kama nilivyodokezwa jioni ya leo.
Lisu Yuko wazi sana.Misimamo yake na malengo yake ni kinyume kabisa na Mbowe .Kiongozi yoyote mwenye uchungu na nchi lakini si Neutral,akaribishwe kufufua matumaini kwa waTanzaniaChadema kiwe makini na mamluki wa CCM watakao letwa kuhujumu mabadiliko na kuanza kukipasua chama
Ikiwezekana Lissu akitoka aunde kamati ya watu very potential na waadilifu tofauti na kamati kuu kwa ajili ya kutunza Siri za chama!!
Hakuna haja ya kila mtu kuwa na access ya kila Jambo linaloendelea ndani ya chama
Hatutaki mambo ya kina Lowassa,Sumaye na Nyarandu kujirudia
Amewahi kuweka uwazi gani kuhusu familia yake iliyopo ulaya na mipango waliyonayo na watu wa ulaya?!!!! Kama hajawahi basi nyumbu kaa kimya.Lisu Yuko wazi sana.Misimamo yake na malengo yake ni kinyume kabisa na Mbowe .Kiongozi yoyote mwenye uchungu na nchi lakini si Neutral,akaribishwe kufufua matumaini kwa waTanzania