SADC na kiroja cha Uafrika

SADC na kiroja cha Uafrika

said Nundu JR

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2016
Posts
466
Reaction score
359
KIROJA CHA 'UAFRIKA'

Siku chache kabla ya kuanza mkutano wa SADC wakati Raisi wa Afrika ya Kusini akizuru maeneo ya kihistoria ya kambi za wapigania uhuru wa ANC Morogoro, raia wake walikuwa 'hae hae' wanavunja na kuiba maduka ya waafrika wenzao wanaoishi nchini Afrika ya Kusini, na baada ya siku chache ndege ya Tz imezuiwa. Kiroja cha 'uafrika' !!!!!

Afrika haitokomboka kwa uafrika wake kama zilivyoshindwa nchi za kiarabu kukomboka kwa uarabu wao. Kunahitajika fikra pana zaidi
 
Ndege imezuiwa kwa sababu ya deni binafsi not goverment Acha upumbavu... matatizo ya kiuchumi gepu la masikini na tajiri yakizidi tegemea chochote. . Nyerere is no longer wacha maisha yaende mnapenda kutembea backward and not foward mmekuwa kama wagalatia wapumbavu. SADC inahusikaje?
 
Ndege imezuiwa kwa sababu ya deni binafsi not goverment Acha upumbavu... matatizo ya kiuchumi gepu la masikini na tajiri yakizidi tegemea chochote. . Nyerere is no longer wacha maisha yaende mnapenda kutembea backward and not foward mmekuwa kama wagalatia wapumbavu. SADC inahusikaje?
Mbona watu wameandamana ubalozini Sasa?
 
Mbona watu wameandamana ubalozini Sasa?
Waliondamana labda uelewa wao mdogo ndege imekamatwa kwa amri ya mahakama hyo serikali ya SA hawana uwezo kuamrisha kuachiwa kama hata huyo rais tu anafikishwa mahakamani hyo nguvu angekuwa Nazo hizo kesi dhidi yake zisingekuwepo hila nnajua mambo yatakuwa fresh AIRBUSS itarudi nyumbani itaendelea na kazi kama kawaida.
 
Waliondamana labda uelewa wao mdogo ndege imekamatwa kwa amri ya mahakama hyo serikali ya SA hawana uwezo kuamrisha kuachiwa kama hata huyo rais tu anafikishwa mahakamani hyo nguvu angekuwa Nazo hizo kesi dhidi yake zisingekuwepo hila nnajua mambo yatakuwa fresh AIRBUSS itarudi nyumbani itaendelea na kazi kama kawaida.

Ni kweli ndege imezuiwa na Mahakama, na serikali imetuma wanasheria, kiufupi ni mambo ya kisheria sioni kama SADC inahusika hapo.
 
Serikali ilipe tu deni la mdaiwa km mkapa na kikwete walilipunguza wewe malizia kwa sababu una hela ya kununua ndege 6 kwa mkupuo.
Ulivo katisha watu maisha yao ili upate kick za kisiasa na wewe ndo umepatikana sasa. Lia na utalia sana jiwe wewe! Sina huruma na kilema wa akili
 
Ndege imezuiwa kwa sababu ya deni binafsi not goverment Acha upumbavu... matatizo ya kiuchumi gepu la masikini na tajiri yakizidi tegemea chochote. . Nyerere is no longer wacha maisha yaende mnapenda kutembea backward and not foward mmekuwa kama wagalatia wapumbavu. SADC inahusikaje?
hii dawa lazima imuingie aisee.
 
Back
Top Bottom