SADC kuwa free 2015

Delegate

JF-Expert Member
Jan 4, 2012
331
201
kuna habari njema kwa member wa Sadc,kuna kazi inaendelea sasa hivi ambayo itafanya wanachama wote wa sadc ikiwemo tanzania kuwa border free kutoka 2015,kwa tunaoishi Botswana sasa hivi kama tunakuja tanzania driving tunalipishwa hela nyingi sana pale border,pamoja na kulipia vitu vyote ulivyo navyo the same umetoka nchi iliyo kwenye sadc,tunashukuru sana kwa hilo tunaona ni hatua nzuri kwa mabadiliko makubwa na maendeleo ya sadc members
 
Hiyo iko njema sana.... Sasa ikiwezekana hata mipakani wananchi toka nchi wanachama wavuke kwa kutumia kitambulisho cha uraia... Na makazi tuwe tukijenga, kulima na kuishi kokote kule katika nchi wanachama..
 
Kwa kifupi SADC inapigana na changamoto nyingi na mataifa wanaowakilishwa yatahitajika kuchukua nafasi za karibu mfano rasilimali kama nguvu za kazi kuendeleza mipango ya maendeleo ili kufikia kiwango cha kimataifa. Kuna changamoto ndani ya mataifa haya na mradi tu zitashughulikia kuziondoa ndio kutakuwa na mafanikio.

1.Nambari moja na muhimu zaidi ni hadhi ya mazingara ambao misitu inapokea ufyekaji kutoka kwa wanadamu ukizidisha uharibifu. sehemu za misitu au mbuga zikipotea ina maana kuwa ardhi hugeuka ukawa jangwa.

2.Ardhi ni donda sugu hasa kwa mataifa ya SADC. Watu wakizidi kupanuka lazima suluhu za kudumu ziwekwe kuelezea changamoto za siku za usoni. Kigiographia ni wazi kuwa uharibifu wa misitu huchangia kuharibika kwa mazingira.

3.Sekta ya nishati ya umeme na viwanda badi miundo msingi yake bado haijaimarika na itabidi mataifa husika kuinua viwango vya sekta hivi.

4. Nguvu na nafasi za kazi bado haishughulikiwi kwa ukosefu wa ajira kwa wingi kwa wananchi katika mataifa husika

5. Ubadhirifu wa mapato huku viongozi wengine wakinunua mandege za kupaa angani na baadhi ya watu walaloi
 
Back
Top Bottom