SADC imefichua uongo kuwa sera ya viwanda siyo ya Serikali awamu ya tano

Jumuia ya Umoja wa nchi za Kusini mwa Africa(SADC) inaendelea na mchakato wa mkutano wake wa Viongozi wakuu wa nchi 16. Mkutano huo umeanza kwa kutanguliwa na WIKI YA VIWANDA na baadaye MAKATIBU WAKUU WA hizo nchi 16.

Katika kufunga wiki la MAONYESHO ya VIWANDA nilimsikia Katibu wao Mkuu akisema kuwa SERA YA VIWANDA KWA NCHI ZA SADC ilitangazwa Rasmi mwaka 2015 mwezi wa 8 wakati Rais Jakaya Kikwete akikaribia kumaliza muda wake Oktoba 2015.

Katika kampeni za Uchaguzi Mkuu wa 2015 Magufuli akiwa mgombea wa Urasi toka Chama cha CCM alianza kujinasibu kuwa anataka kuanzisa Serikali ya Viwanda kana kwamba hilo lilikuwa ni wazo lake binafsi kitu ambacho siyo kweli. Mkutano unaokuja wa SADC uliotanguliwa na WIKI YA VIWANDA umethibitisha ukweli huo!

Nawasilisha.
assume kwamba ni kweli hio ni sera ya SADC:

1. Sasa unataka kusema Tanzania imekosea kuadopt hio sera?

2. Je hivyo viwanda vitakiwa kujengwa wapi - nje ya SADC?
 
Kama ni akili za Lumumba...huwezi kumwelewa mtoa mada hata siku moya!!!
Upoyoyo na ukihiyo umewajaa vichwani..!!You can only discuss people but NOT issues because you're fools to begin with...!!!
Hata wewe sijakuelewa mkuu....

Unajibu kama unadhani nipo kwenye mabishano na tunajuana...nipo hapa kuelewa yanayoandikwa.
 
Wapi anaitekeleza ?taja viwanda 5 tu ambavyo vimefunguliwa!!

Waziri wa Viwanda aliyetumbuliwa alikuwa anasema ukiwa na VYERAHANI 4 TU TAYARI NI KIWANDA...!!!
Ukikutana naye Bungeni anakuuliza huku mikono ikiwa mfukoni...''Vipi Mhe.X nikupatie Kiwanda.." kana kwamba ana viwanda mfukoni akigawa kama njugu mawe...!!Hii nchi kwa vihoja usipime!!!
 
Jumuia ya Umoja wa nchi za Kusini mwa Africa(SADC) inaendelea na mchakato wa mkutano wake wa Viongozi wakuu wa nchi 16. Mkutano huo umeanza kwa kutanguliwa na WIKI YA VIWANDA na baadaye MAKATIBU WAKUU WA hizo nchi 16.

Katika kufunga wiki la MAONYESHO ya VIWANDA nilimsikia Katibu wao Mkuu akisema kuwa SERA YA VIWANDA KWA NCHI ZA SADC ilitangazwa Rasmi mwaka 2015 mwezi wa 8 wakati Rais Jakaya Kikwete akikaribia kumaliza muda wake Oktoba 2015.

Katika kampeni za Uchaguzi Mkuu wa 2015 Magufuli akiwa mgombea wa Urasi toka Chama cha CCM alianza kujinasibu kuwa anataka kuanzisa Serikali ya Viwanda kana kwamba hilo lilikuwa ni wazo lake binafsi kitu ambacho siyo kweli. Mkutano unaokuja wa SADC uliotanguliwa na WIKI YA VIWANDA umethibitisha ukweli huo!

Nawasilisha.
Uelewa wako ni mdogo sana, pole.
 
Jenga Hoja na siyo Vihoja...!!
Unajua kosa la COPY&PASTE? Kuna SHERIA ya HATI MILIKI na ni kosa la jinai kunakili jambo lililoanzishwa na mwezako!
Sasa mkuu wewe pia kunasehem unakosea,,, mm sio mfuasi wa chama chochote hapa nchini ila unavyosema JPM amecopy hio sera na sio sawa kisheria mm nashindwa kukuelewa?? Sasa nini maana ya kuunda umoja wa SADC kama mwenzako akitoka hoja then mwanachama mwingine aipende na kuileta katika nchi yake,,, kwa uelewa wangu mm n kwamba mkiunda umoja n mnashare mambo yote yaliokwenye makubaliano!!! Hakuna swala la "kosa la COPY&PASTE" kwenye hayo maswala kabisa,,,
 
Jumuia ya Umoja wa nchi za Kusini mwa Africa(SADC) inaendelea na mchakato wa mkutano wake wa Viongozi wakuu wa nchi 16. Mkutano huo umeanza kwa kutanguliwa na WIKI YA VIWANDA na baadaye MAKATIBU WAKUU WA hizo nchi 16.

Katika kufunga wiki la MAONYESHO ya VIWANDA nilimsikia Katibu wao Mkuu akisema kuwa SERA YA VIWANDA KWA NCHI ZA SADC ilitangazwa Rasmi mwaka 2015 mwezi wa 8 wakati Rais Jakaya Kikwete akikaribia kumaliza muda wake Oktoba 2015.

Katika kampeni za Uchaguzi Mkuu wa 2015 Magufuli akiwa mgombea wa Urasi toka Chama cha CCM alianza kujinasibu kuwa anataka kuanzisa Serikali ya Viwanda kana kwamba hilo lilikuwa ni wazo lake binafsi kitu ambacho siyo kweli. Mkutano unaokuja wa SADC uliotanguliwa na WIKI YA VIWANDA umethibitisha ukweli huo!

Nawasilisha.
Bro hatujui uwezo wako wa kufikiri ila nadhani utakuwa na ufinyu fulani wa taarifa. Anyways, ni kuwa ulichosema hapa ni kulenga mtu binafsi na sio kuonyesha ualisia wa sera yenyewe. Kwanza inabidi utambue kuwa sera za Marais wote huwa zinatokana na chama husika anachotoka, hajitamkii yeye kwa matakwa yake pekee hii ni tangu akiwa mgombea na baadae kupata nafasi ya kuwa kiongozi wa chama husika. Kwahiyo katika sera uliyoitoa hapo juu fahamu kuwa haikuwa ya JK pekee bali ilitokana na chama chake akiwemo huyo JPM kama waziri wake na kiongozi ndani ya chama cha siasa akiwa Mbunge wakati huo. Kwahiyo aliyoanza nayo JPM wakati anachukua usukani wa Madaraka aliendeleza mikakati ya Ilani yao, ila ameweka msisitizo zaidi kwenye swala la viwanda na ndio kinachopelekea kuona kuwa ni wazo lake binafsi.

Kamanda nahisi utakuwa mpinzani wa Rais kibinafsi ndio maana utakuwa umepitwa na matukio yanayo futilia mbali uwongo ulioandika hapa JF. Rejea kauli za JK pale Dodoma mwaka 2015 wakati akimkabidhi JPM chama, pamoja na speech za JPM kipindi cha uchaguzi, kauli za Nape akiwa ana nadi chama kabla ya kumaliza wakati wake. Na muhimu wakati JPM amewaalika Viongozi wastaafu wa Ngazi za juu ya Nchi mwaka Jana Ikulu, ndio utafahamu kuwa matekelezo ya awamu za urais kupitia CCM hufuata Ilani ya chama na sio ndoto za alinacha za mtu binafsi. Be Wise Comrade!
 
Bro hatujui uwezo wako wa kufikiri ila nadhani utakuwa na ufinyu fulani wa taarifa. Anyways, ni kuwa ulichosema hapa ni kulenga mtu binafsi na sio kuonyesha ualisia wa sera yenyewe. Kwanza inabidi utambue kuwa sera za Marais wote huwa zinatokana na chama husika anachotoka, hajitamkii yeye kwa matakwa yake pekee hii ni tangu akiwa mgombea na baadae kupata nafasi ya kuwa kiongozi wa chama husika. Kwahiyo katika sera uliyoitoa hapo juu fahamu kuwa haikuwa ya JK pekee bali ilitokana na chama chake akiwemo huyo JPM kama waziri wake na kiongozi ndani ya chama cha siasa akiwa Mbunge wakati huo. Kwahiyo aliyoanza nayo JPM wakati anachukua usukani wa Madaraka aliendeleza mikakati ya Ilani yao, ila ameweka msisitizo zaidi kwenye swala la viwanda na ndio kinachopelekea kuona kuwa ni wazo lake binafsi.

Kamanda nahisi utakuwa mpinzani wa Rais kibinafsi ndio maana utakuwa umepitwa na matukio yanayo futilia mbali uwongo ulioandika hapa JF. Rejea kauli za JK pale Dodoma mwaka 2015 wakati akimkabidhi JPM chama, pamoja na speech za JPM kipindi cha uchaguzi, kauli za Nape akiwa ana nadi chama kabla ya kumaliza wakati wake. Na muhimu wakati JPM amewaalika Viongozi wastaafu wa Ngazi za juu ya Nchi mwaka Jana Ikulu, ndio utafahamu kuwa matekelezo ya awamu za urais kupitia CCM hufuata Ilani ya chama na sio ndoto za alinacha za mtu binafsi. Be Wise Comrade!

Can you please tell us who engineered the so called"THE CCM ELECTION MANIFESTO 1995"?
Mkapa alitawala 1995~2005 na tulishuhudia akiuza na kubinafsisha VIWANDA VYOTE!
 
Povu hapa ni la kumwaga mkuu....kama huwezi kuchangia sepa zako...!!
Kwa taarifa yako nchi hii ilikuwa na VIWANDA VINGI sana vilivyoanzishwa na Baba wa Taifa: Mwatex, Mutex, Urafiki, UFI, Kiwanda cha Matairi Arusha, Ginneries ukanda wa Pamba, Moproco, VOIL Mwanza, n.k just to mention a few.
Baada ya kukabidhiwa nchi Mafisi wa CCM wakauza Viwanda na Kubinafsisha kila kitu......halafu Fisi mmoja leo ana walaghai Wadanganyika ati anataka nchi ya Viwanda...This is non-sense so to speak...!!!

Likija fisi jingine ndani ya miaka 10 ijayo litauza kila kitu..!!Hizo ndo sera mkanganyiko za Mafisi wa Lumumba.
Najua nchi ilikuwa na viwanda vikatafunwa.
Huyu kasukumizwa ndani ya ikulu akakurupushwa na sera za viwanda.

Kuna wadanganyika wanaamini kuwa Tz ina viwanda vingi tu ndani ya 5 yrs ya Magu.

Hao walioaminishwa ndo watakuongezea povu la kufulia nguo zako kwa kuuliza swali la "kichochezi" kama hili.

Ni hayo tu.
 
Jumuia ya Umoja wa nchi za Kusini mwa Africa(SADC) inaendelea na mchakato wa mkutano wake wa Viongozi wakuu wa nchi 16. Mkutano huo umeanza kwa kutanguliwa na WIKI YA VIWANDA na baadaye MAKATIBU WAKUU WA hizo nchi 16.

Katika kufunga wiki la MAONYESHO ya VIWANDA nilimsikia Katibu wao Mkuu akisema kuwa SERA YA VIWANDA KWA NCHI ZA SADC ilitangazwa Rasmi mwaka 2015 mwezi wa 8 wakati Rais Jakaya Kikwete akikaribia kumaliza muda wake Oktoba 2015.

Katika kampeni za Uchaguzi Mkuu wa 2015 Magufuli akiwa mgombea wa Urasi toka Chama cha CCM alianza kujinasibu kuwa anataka kuanzisa Serikali ya Viwanda kana kwamba hilo lilikuwa ni wazo lake binafsi kitu ambacho siyo kweli. Mkutano unaokuja wa SADC uliotanguliwa na WIKI YA VIWANDA umethibitisha ukweli huo!

Nawasilisha.


Acha uhayawani ww, tatizo ni kutamka au kutekeleza, sera ngapi zimetamkwa tu ila utekelezaji zero, naona mna nongwa sana na mazuri JPM anayofanya, yanawauma sana..
 
Sera za CCM can siyo za JPM. Zimeandikwa kwenye ilani yao . Iliandaliwa na CCM 2014/15 na Wasirra.
 
Jumuia ya Umoja wa nchi za Kusini mwa Africa(SADC) inaendelea na mchakato wa mkutano wake wa Viongozi wakuu wa nchi 16. Mkutano huo umeanza kwa kutanguliwa na WIKI YA VIWANDA na baadaye MAKATIBU WAKUU WA hizo nchi 16.

Katika kufunga wiki la MAONYESHO ya VIWANDA nilimsikia Katibu wao Mkuu akisema kuwa SERA YA VIWANDA KWA NCHI ZA SADC ilitangazwa Rasmi mwaka 2015 mwezi wa 8 wakati Rais Jakaya Kikwete akikaribia kumaliza muda wake Oktoba 2015.

Katika kampeni za Uchaguzi Mkuu wa 2015 Magufuli akiwa mgombea wa Urasi toka Chama cha CCM alianza kujinasibu kuwa anataka kuanzisa Serikali ya Viwanda kana kwamba hilo lilikuwa ni wazo lake binafsi kitu ambacho siyo kweli. Mkutano unaokuja wa SADC uliotanguliwa na WIKI YA VIWANDA umethibitisha ukweli huo!

Nawasilisha.
Wewe ni fala! Unafahamu hujusu manifesto?
 
Back
Top Bottom