Mr Mayunga
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 313
- 40
Kuna graduate aliitwa Ashura Jumanne Ally,alisoma BED-Biology.Alipangika wilaya Rufiji,tulikua nae kituo kimoja kinaitwa Kazamoyo sec.Amefariki jana jioni katika hospital ya Mchukwi iliyopo wilayani Rufiji. Alikua mweupe mfupi,sio mnene sana mkazi wa kondoa,kwa mawasiliano zaidi 0764620855