Nmeona Supersport wamesema ndio wamepewa rights za kuonyesha WWE
Dstv wametoa tangazo kuonyesha WWE kwa partnership ya miaka 10 ijayoDuuh jamani.. e Africa nlikuwa naangaliga mieleka tu, Ntamiss sana WWE. SmackDown, Raw, NXT.
Sent using Jamii Forums mobile app
ina maana nikilipia access naipata?WWE sasa imeamia Dstv.....so kuanzia agosti 29 wataonyesha kupitia Dstv ch. Ss12
Sent using Jamii Forums mobile app
JF kuna mengi dah mbavu zangu.Mimi siangaliagi maana wanataka kucheza na akili za watu.
Mtu kavaa kichupi, sasa anagimbea mkanda wa nini.?!
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mimi siangaliagi maana wanataka kucheza na akili za watu.
Mtu kavaa kichupi, sasa anagimbea mkanda wa nini.?!
Sent using Jamii Forums mobile app
JF kuna mengi dah mbavu zangu.
kuanzia compact..nahis vifurush s 12 wameitoaina maana nikilipia access naipata?
Sawa mkuu ntakucheki ! Habari nzuri tunamshukuru Sir God.Kijana ebu nitafute, habari za siku?
Hiv toka isdingo ianze ipo episode ya 88 tu....Acha kashfa mimi niko Morogoro kijiji cha Lunenzi muda huu naangalia Isidingo the needs episode ya 88 via you tube, hii ni episode ya jana kule South
Hiv toka isdingo ianze ipo episode ya 88 tu
Duuuuuuuuuuuu 😱 😱 😱 😱 😉 😉 😉 😡 😡 😡 😡 😵 😵 😵 😵 😵 😵 😵 😵 😳 😳 🙂 🙂 😛 😀 😀 🙂 🙂 😎 😎 🙄 🙄 😛 😛 😛 😛 😕 😕 😕 😕 😕 😛 😛 😛
Also S4 , S3 , S 10 na S 9....kuanzia mambo mpaka compactWWE sasa imeamia Dstv.....so kuanzia agosti 29 wataonyesha kupitia Dstv ch. Ss12
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi hao e.tv waliachaga kuonesha pornograph usiku? maana long time sana sijaangalia iyo channel
Sent using Jamii Forums mobile app