Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
Chaga development manifesto [CDM]
Chama Cha Majambazi (CCM)
Chaga development manifesto [CDM]
Gazeti la Uhuru?kha!..ni bora likaitwa gazeti la 'UTUMWA'..ni mtizamo tu.
kwani Dr wa ukweli ni yule kilema wa mkono na mdomo uliopinda?? Mbowe hatofautiani sana na chiligati kwa definition yako hapo juuChiligati ni yupi,yule mwenye makengeza?kama ndio hawezi tumia pisto kwani hawezi patia shabaha.KIGUMU CHAMA CHA MAGAMBA.
bwahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa:focus:gazeti la Tanzania Daima ni bora likaitwa gazeti la tanzania Dumaza.....mwanahalisi likaitwa mwanahanithi
Baaasi ngoja niendelee na shughuli zangu tu.Wadau msihangaike SOURCE ni gazeti la UHURU.
Hili ni gazeti gani? Naona hii habari imeandikwa kiushabiki. Na linaonekana kama gazeti linalo promote CCM. Hatasemaje kuwa ametoa mil 200 kwa ajili ya kuchimba visima bila kujali wabunge wanatoka chama gani,wakati alitoa kwa ajili ya maeneo wanayotoka wabunge wa CHADEMA.
Alafu anaposema hakuna chama kingine kinachoweza kuongoza zaidi ya CCM,wakati juzi alisema CHADEMA kinaweza. Waandishi wengine wa Habari wanaandika habari ambazo ni kwa ajili ya kupindisha ukweli tu.
Dah dear Faiza Upo Mtu wangu! aisee. Lakini nisaidie hili hivi huko Magambani unapata nini hasa tujulishe wenzio! Nimewahi kumfanyia vipimo vya kimaabara na vingine vya kimazingara(Ramli) mwanamagamba mmoja nikagundua kuwa ni Totally Mchizi ! kwani yanataka moyo kuwapigia Magamba Ufagio. Magamba ni kama Moto wa Mjinga, Ukiuota tu basi kuni utazifuata utake usitakeKwa hiyo kama kawapa maeneo yanayotoka Wabunge wa CHADEMA basi yeye kisha kuwa magwanda? na hayo maeneo ya wabunge wa magwanda hakuna watu wasio na vyama? au wa vyama vingine> au mtawabaguwa wasiteke maji kwa kuwa wabunge wa hayo majimbo ni wa magwanda? Unanshangaza!