Profesa Mwandosya amekosoa uamuzi wa Sabodo kutoa msaada wa kuchimba visima kwenye majimbo ya wabunge wa CHADEMA! Alivyokuwa mburula na yeye amekiri kupewa msaada wake visima 100 jimboni mwake!
my take:
Visima hivi vitatumiwa na watu wote bila kujali itikadi ya chama chochote.Tumuunge mkono sabodo! Ni pesa yake anao uhuru wa kupanga matumizi ya fedha zake.Ni Ujinga kumpangia matumizi ya fedha mwanaume mwenzako.
Namshauri Mwandosya arudi India kucheck afya yake! Inaonekana anazeeka vibaya.
my take:
Visima hivi vitatumiwa na watu wote bila kujali itikadi ya chama chochote.Tumuunge mkono sabodo! Ni pesa yake anao uhuru wa kupanga matumizi ya fedha zake.Ni Ujinga kumpangia matumizi ya fedha mwanaume mwenzako.
Namshauri Mwandosya arudi India kucheck afya yake! Inaonekana anazeeka vibaya.