Mashishanga mwenyewe haeleweki ndani ya CCM na ndiyo maana kapigwa benchi.
Pia gazeti lililoandika hiyo taarifa sina uhakika nalo maana yake MTANZANIA ni la Habari Corporation ambao linawezekana kabisa kuna gilba ya kibiashara zaidi na kimaslahi dhidi ya mmiliki wake na Sabodo.
Hakuna mtu anafungwa mdomo kuongea.
Pia gazeti lililoandika hiyo taarifa sina uhakika nalo maana yake MTANZANIA ni la Habari Corporation ambao linawezekana kabisa kuna gilba ya kibiashara zaidi na kimaslahi dhidi ya mmiliki wake na Sabodo.
Hakuna mtu anafungwa mdomo kuongea.