RAJ PATEL JR
JF-Expert Member
- Sep 8, 2010
- 743
- 169
Oxymoron.................................Katika mshangao mkubwa aliyewahi kuwa mkuu wa mkoa wa Morogoro na kada maarufu wa CCM stephen Mashishanga amekitaka chama cha mapinduzi kumfukuza mara moja kada wa chama hicho Mustapha Sabodo kwa kile aklichodai ni usaliti wa waziwazi kwa chama hicho tawala.
Mashishanga amedai maneno aliyotamka alipokuwa na Katibu mkuu wa Chadema Dr Wilbroad Slaa ni usaliti mkubwa kwa CCM. Mashishanga hajafurahishwa na kauli ya Sabodo alipomwambia Dr Slaa anatamani CCM ishindwe uchaguzi wa 2015 na akaahidi kumchangia mgombea urais wa Chadema shilingi milioni 500.
SOURCE: MTANZANIA.