Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,601
- 94,726
Naona umeanza kuwashwa washwaKuna jamaa hapa pembeni amesema nafasi hiyo bora angepewa Robert Amsterdam ambae ni mlezi na mtetezi mkuu wa Lisu. Kumbe mabeberu yanatofautiana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona umeanza kuwashwa washwaKuna jamaa hapa pembeni amesema nafasi hiyo bora angepewa Robert Amsterdam ambae ni mlezi na mtetezi mkuu wa Lisu. Kumbe mabeberu yanatofautiana!
Bila kuiondoa ccm madarakani tutaendelea kulia lia tuKuna mpasuko mkubwa CCM, wanatuaibisha kwa kweli.
Ni lini wazungu walimchukua mtu mweusi asafishe reputation iliyo haeibiwa na mzungu?
Ni ujinga wa kiwango Cha juu kufikiri kuwa tukihitaji chanjo lazima tupitie Kwa secretary of state, Magufuli alinunua Boeing mbili USA je tulipitia Kwa secretary of state? Samia ni mweupe tu Wala sioni agenda yeyote.
Kubeba fedha za umma kwenye sandarusi ni kosa la jinaiNi vizuri tukajibizana kwa hoja na sio matusi huko ni kuonesha uvivu wa kufikiri. Unafananisha kununa ndege Boeing na kupata chanjo? Ndege ni hela yako tu lakini Vaccines sio hivyo kwani hazitoshelezi kwa kila muhitaji. Serikali ya marekani inasimamia hizo vaccines jinsi zinavyogawiwa na ndio maana nchi maskini wanalalamika kuwa hawatendewi haki katika mgawo wa hizi chanjo!!! Wakubwa wanataka wajiridhishe wao kwanza halafu ndio masikini wapate hapo baadae, wakati huo watu wao wanateketea!
Sawa Magufuli alikwenda BOEING na hela zake kwenye sandarusi akanunua ndege kwasababu ziko nyingi; hizi chanjo sio hivyo, the supply cannot meet the world wide demand hence the skewed rationing!! Lakini mkitaka za WARUSI au WACHINA mnaweza kununua nazo zipo!!!
Kuna kitu umechanganya hapa.Kuna tatizo kubwa kama Mkuu wa nchi atakuwa na washauri peke yao walioelimishwa kwa fedha za multilateral institutions au taasisi za magharibi!!! Mlengo wao mara nyingi sio kuwa independent thinkers bali to always lean towards western interests na sio interests za nchi zao!!! Ni vema kama kiongozi akiwa na jopo [ diversity] la washauri hasa kwenye mambo ya uchumi kuliko kumtegemea kiumbe mmoja!!
Kuhusu uteuzi wa Tony Blair, mimi binafsi sina tatizo kutegemeana na nchi inataka nini kutokana na uteuzi huo. Katika miaka hii ya utawala wa Magufuli nchi yetu haikuwa na uhusiano mzuri na mataifa mengi hasa ya Ulaya na Marekani; hivyo ikaonekana kutokana na historia ya huko nyuma enzi za Mkapa, mtu pekee ambae anaifahamu vizuri nchi yetu na angeweza kutusaidia kurudisha uhusianao mzuri na nchi za nje ili kupata misaada hasa wa kupambana na covid 19 ni taasisi ya Tony Blair.
Tukumbuke kuwa huko nyuma akiwa Waziri Mkuu enzi ya Mkapa nchi yetu ilikuwa na ludo la madeni ya nje na ni huyu huyu Tony Blair aliyetusaidia kuwashawishi wadeni wetu kupunguza na hata kuyafuta madeni na nchi ikapata afueni. Ni kufuatana na historia hiyo na matatizo tuliyonayo na covid 19 ndio maana ikaonekana kuwaomba taasisi ya Tony Blair kutusaidia ni jambo la busara. Tukumbuke pia kuwa hizi chanjo za covid19 zinapatikana hasa kwenye nchi zilizoendelea na hasa marekani hivyo tunahitaji mtu anayekubalika na BIDEN iili kupata hizo chanjo!
Tanzania sio nchi pekee ya Africa inayomtumia Tony Blair kwa ushauri. Majirani zenu wa Rwanda wamekuwa wanamtumia kwa muda mrefu sasa na wana matokeo mazuri
Utaomba Kila kitu?Sasa kama hujiwezi si unaomba msaada kwa mwenye uwezo?
SIo Kweli, chanjo hazitengenezwi na USA state , ni private companies ambazo zimekuwa authorized kuuza popote duniani, south Africa wamenunua chanjo kutoka katika makampuni hayo bila kuwa na direct contacts za Biden or so called secretary of state, vaccines ni biashara kama biashara zingine, Samia kachemka, uwezo mdogoNi vizuri tukajibizana kwa hoja na sio matusi huko ni kuonesha uvivu wa kufikiri. Unafananisha kununa ndege Boeing na kupata chanjo? Ndege ni hela yako tu lakini Vaccines sio hivyo kwani hazitoshelezi kwa kila muhitaji. Serikali ya marekani inasimamia hizo vaccines jinsi zinavyogawiwa na ndio maana nchi maskini wanalalamika kuwa hawatendewi haki katika mgawo wa hizi chanjo!!! Wakubwa wanataka wajiridhishe wao kwanza halafu ndio masikini wapate hapo baadae, wakati huo watu wao wanateketea!
Sawa Magufuli alikwenda BOEING na hela zake kwenye sandarusi akanunua ndege kwasababu ziko nyingi; hizi chanjo sio hivyo, the supply cannot meet the world wide demand hence the skewed rationing!! Lakini mkitaka za WARUSI au WACHINA mnaweza kununua nazo zipo!!!
Mbona kama taifa tunaomba kila kitu?Utaomba Kila kitu?
SIo Kweli, chanjo hazitengenezwi na USA state , ni private companies ambazo zimekuwa authorized kuuza popote duniani, south Africa wamenunua chanjo kutoka katika makampuni hayo bila kuwa na direct contacts za Biden or so called secretary of state, vaccines ni biashara kama biashara zingine, Samia kachemka, uwezo mdogo
Kuna kitu umechanganya hapa.
Kuna mtu anaitwa Tony Blair (huyu ndio mshauri wa mama Samia wa sasa) na kuna waziri mkuu wa Uingereza aliyekuwa anaitwa Tony Blair (huyu ndio alishirikiana na Mkapa kuhakikisha Tz tunasamehewa madeni). Hawa ni 'watu' wawili tofauti ukiwatazama kwa jicho la kidiplomasia.
Kama ilivyokuwa kwa mama Samia, kuna mama Samia aliyekuwa makamu wa rais na kuna mama Samia rais wa Tz. Hawa ni 'watu wawili' tofauti ukiwatazama kwa jicho la kimamlaka.
Mwaka 2016 mzee mmoja aitwa John Chilcot alifanya assessment ya kitendo cha Tony Blair kuiingiza nchi yake kwenye uvamizi wa Iraq.Wengi mlioandika mmekuja kwa asira na utashi wa kukosoa,inaweza kuwa kweli kuwa karibu na huyu Tony sio kwema lakini kuna sababu Tony Blair kuwa na hiyo nafasi,na wala si kuwa ni yeye binafs naomba mfuatile 'Tony Blair Institute' alafu jiongezeeni ujuvi.
Pamoja na kuwa Blair kwao anaonekana mwongo sababu ya vita ya Iraq,lakin bado ni 'one of the most influencial figures in uk',na bado ana uhusiano mkubwa na wa karibu na wanasiasa,wafanyabiashara na viongozi wengi serikalini,ivo msimchukulie poa.
Ww na wee unataka mada tu ya kuongelea sasa nafasi yenyewe ya ushauri ni ya ushauri kuhusu Covid 19 ? Kweliii ? Alafu huyo anaekwambia Tony Blair hana credibility pengine amfahamu Tony Blair .. huyu ndiye alibahatika kuaminjwa na chama chake cha labor akiwa kijana tu ..akasema yy akipewa nafasi bac kipaumbele chake cha kwanza ni Elimu, cha pili ni elimu na tatu ni elimuShirika la habari la South Africa walikuwa na mjadala kuhusu Mama Samia kumteua Tony Blair kuwa mshauri wake.
Hoja ya wachambuzi haikuwa kwa nini Tony Blair Bali ilikuwa credibility ya Tony Blair.
Wanasema Tony Blair hana credibility, hivyo kumteua kuwa mshauri ni kosa na wanashangaa imekuwaje Tanzania nchi iliyopigania ukombozi kufanya kitu kama hicho.
Mimi binafsi kwenye hili sijui hata nisimamie wapi maana sijui pa kuanzia, ngoja tuendelee kusubiri wajuvi wakilichambua kwa hoja.
View attachment 1987100
Bado hujaeleza kwanini TonyvBlair na sio kila mzungu.Wao Ramaphosa mbona akitishwa na wazungu Tu kuhusu land reforms anaufyata?
Bado hujaeleza kwanini TonyvBlair na sio kila mzungu.
Braza Ramaphosa hawezi kufanya kitu pale kwenye land reforms. Atauporomosha uchumi wa nchi akitia tu kidole paleWao Ramaphosa mbona akitishwa na wazungu Tu kuhusu land reforms anaufyata?