Alijitabiria yeye mwenyewe kuwa akifa kaburi lake Lita stahili hata kuchapwa viboko.Fanya mambo mengine mbona dunia imejaa mengi ya kufanya. Acha kumsimanga hayati haikusaidii na wala haimsaidii huko alipo.
😂😂 Sijawahi kutana na mwendawazimu wa kiwango hiki tokea misingi ya dunia iundwe.Wewe ndo fala na mpumbavu kupindukia kabisa,jinga wahedi hujui hata neno la Mungu.
Wewe ukimwudhi Mungu unadhani utaishi? Unadhani kuishi Duniani ni kwa akili zako na Upumbavu wako?
Unajua ni kwanini Mungu aliamua viumbe vyote vife?
Unadhani kifo ni zawadi au ni process nzuri? Wewe Boya unapenda kufa? Kwanini Mungu anaishi milele hafi? Stupid sana wewe,kifo ni laana siyo Baraka mbuzi wewe.
Magufuli angekuwa mwema angeishi miaka 95 ,hujui kuwa Dhambi inapunguza umri wa kuishi Duniani?
Soma neno la Mungu kima pori wewe
Msiwe mnatuletea mada za kipumbavu,Sabaya ulimkuta lini anaelekezwa na Magifuli kufanya aliyo fanya?
Unatuaminishaje kwamba Sabay amefanya hayo yote na si tu ametengenezewa makosa na wabaya wake ambao aliwataka waipe kodi na watende haki?
Iwapo wewe mwenyewe hukua pamoja nao na unafanya kuleta mada kulingana na mawazo yako jaribu kupunguza ushamba na ujingi mwingi kisha ufuate maisha yako kuliko kuzungumza usicho kijua kwa mapenzi yako binafsi
kamaa tadinu tudanu,huwez kuwa muovu kisha upewe cfa njema hlo jamaaa lilikuwa na roho mbaya kwer kwer
Pia inaonekana una tabia za ubabaishaji kukisia mambo ambayo akili yako inakutuma, vijana mnashindwaje kujenga hoja kutetea mawazo yenu? Lete hoja.UNAONEKANA ULILIA SNA KWENYE ULE MSIBA AKATI WENZIO WAKILA BIA, ENDELEA KUMUENZI HUYO MUUMIANI
Ata MusibaMaibilisi ktk ubora wao. Ila Sabaya naye tungoje tuone mwisho wake atamalizaje.
Hata Subaru ina LegacyWatetezi wa Legacy wako njiani
Wapo mamilioni ya watu wanaomheshimu na wanampenda.
Sio jambo zuri kumsimanga marehemu asiyeweza kujitetea. Kumbuka hilo, kwamba na wewe ni marehemu mtarajiwa.
We unajuaje kama ni muovu! Unajua mungu anafikiria bini! Unajua uovu unaouona wewe inawezekana kwa mungu ni blessing. We mungu unamjua anataka nini au tunajaribu kubashiri tu kwamba inawezekana mungu anataka hiki au hataku kile. Mi naamini hakuna anayejua mungu anataka nini. Probably aliyoyafanya jpm ndo mungu anatakaHakuna pumziko kwa mtu mwovu
Hakuna pumziko kwa mtu mwovu
Dah....hivi wana wasiwasi JPM anaweza kugombea 2025?
Mwovu gani we pumbavu kkmmmk nyie wangese mlijuaje kuna Jf makima nyinyiHakuna pumziko kwa mtu mwovu
Rais wa nchi kupitia Intelligence(Usalama wa Taifa) huwa anajua siri zote za watendaji wake, yaani kuanzia Vice President hadi mkuu wa Wilaya.
Rais anajua tabia zao,mienendo yao yote kwa ujumla anajua. Sasa Sabaya kahukumiwa kwa kufanya uhalifu wa kila aina, Hayati Magufuli alimjua vizuri sana Sabaya,kuwa ni mtu muovu asiyestahili kuwa hata Baba wa familia,lakini bado alimwacha afanye uovu wake wake, maana yake ni kwamba.
"I embrace him because he walks my ways"
Pumzika kwa amani Magufuli.
Amina mtumishi!!Hakuna pumziko kwa mtu mwovu
Kweli aligusa (+ & -) maisha ya wengi, si alikuwa Raisi.Ukitaka kujua alipendwa kiasi gani alisindikizwa mpaka uwanja wa ndege pale katika ile sehemu ya ndege kupaa, watu hawakujali mazingira yalikuwa vipi. Huyo ndio mtu wa watu anavyoagwa, aliyegusa maisha ya wengi.
Na hivi hawezi kujitetea mtasingizia kila aina ya neno.Alijitabiria yeye mwenyewe kuwa akifa kaburi lake Lita stahili hata kuchapwa viboko.
acha wenye makovu na majeraha walitandike Hadi hamu yao iishe.
Visasi na ufinyu wa fikra.Ndiyo kwa nini yeye pekee yake asimangwe,mbona Nyerere hasimangwi,mbona Mkapa hasimangwi,hivi hujiulizi sababu ni nini ni chuki binafsi za watu au ni ufinyu wa fikra.
Bora sabaya hajaacha watoto huku mtaani akifanikiwa kutoka sio chini ya umri wa miaka 87Apumzike? Unajua kuwa matendo yake yamesababisha wengi sasa hivi pamoja na kuwa hai lakini hawako kwenye mapumziko ila taabu tuu ambazo chanzo ni Magufuli?
Huyu alistahili hata kama kafa kizazi chake ki face consequence ikiwezekana hata tuwatembezee bakora mara moja kila mwezi ili wajute kuwa watoto au wajukuu wa kiumbe cha aina ile badala ya kula pension kutoka kwa jasho letu.