My Son drink water
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 4,932
- 13,283
- Thread starter
- #61
Hata Hitler na Idd Amin wanaishi kwenye mawazo yako au unagoma ukweli?Inashangaza sana hili, JPM bado anaishi kwenye mawazo yao.
Hata Hitler na Idd Amin wanaishi kwenye mawazo yako au unagoma ukweli?Inashangaza sana hili, JPM bado anaishi kwenye mawazo yao.
Naona hutaki kusikia mungu wako Magufuli akiandikwa vibaya,pole sanaMods wamekushughulikia
Soma mada uelewe,usionyeshe uzezeta wa kupindukia hapaHata swala wakimuona simba ufikiria kuwa hivi huyu naye anastahili kuwa hata baba wa familia! Muovu sana huyu mpumbavu… nakiona kilio cha swala dhidi ya simba mkali, fortunately hata simba nao hufa mwisho wa siku…. Ecology kazini…
Wewe ndo fala na mpumbavu kupindukia kabisa,jinga wahedi hujui hata neno la Mungu.We jamaa ni mpumbavu wa kiwango Cha juu kabisa kuwahi kushuhudiwa katika kizazi hiki.
Kufa ni moja wapo ya sifa ya kiumbe hai.na so adhabu ya uovu fake unampa shujaa,Mwana wa afrika halisi,jemedari na kiboko ya mafisadi,na majizi mliokuwa mmezoea kuchuma bila kupanda the Great JPM Mwamba wa kanda ya ziwa.
Nitume na manabii wote walikufa,je nikwasababu waligombana na wazungu juu ya democracy?
Shujaa anawafirimba japo kafariki
Swala bwana…Soma mada uelewe,usionyeshe uzezeta wa kupindukia hapa
Sio jambo zuri kumsimanga marehemu asiyeweza kujitetea. Kumbuka hilo, kwamba na wewe ni marehemu mtarajiwa.Historia aliyoitengeneza wakati akiwa hai hiyo hiyo ndiyo inayomsimanga huko kuzimu aliko.
Wapo mamilioni ya watu wanaomheshimu na wanampenda.Ubaya wake kwa wananchi ndiyo unomwandika.
Kama nyerere anavyoishi mkuuInashangaza sana hili, JPM bado anaishi kwenye mawazo yao.
Mbona husemi tumuache yesu apumzike????tumuache mzee apumzike ameshafariki,its over
Yeye mbona hakutuacha Watanzania tupumzike!!??Kebu acheni mzee wa watu apumzike jamani
Aliruhusu na kujivunia waziwazi maovu yaliyokuwa yanatokea chini yake.Waseme hao watu ambao Magufuli aliwasababishia hizo shida, lete ushahidi Magufuli alihusikaje? Kama ni kifo hata baba yako atakufa tu, kama alishakufa basi mama ako yupo njiani kwenda kaburini.
Mzee kashaenda zake mwachen apumzike
Waseme hao watu ambao Magufuli aliwasababishia hizo shida, lete ushahidi Magufuli alihusikaje? Kama ni kifo hata baba yako atakufa tu, kama alishakufa basi mama ako yupo njiani kwenda kaburini.
We jamaa ni mpumbavu wa kiwango Cha juu kabisa kuwahi kushuhudiwa katika kizazi hiki.
Kufa ni moja wapo ya sifa ya kiumbe hai.na so adhabu ya uovu fake unampa shujaa,Mwana wa afrika halisi,jemedari na kiboko ya mafisadi,na majizi mliokuwa mmezoea kuchuma bila kupanda the Great JPM Mwamba wa kanda ya ziwa.
Nitume na manabii wote walikufa,je nikwasababu waligombana na wazungu juu ya democracy?
Shujaa anawafirimba japo kafariki
Thibitisha kama muda wa kufa Magufuli haukufika, ilitakiwa afe akiwa na umri gani? Thibitisha sisi tulimponzaje mpaka magufuli akafa mapema, alafu unasema tulikua tukimwabudu, unaweza ukathibitisha huko kumwabudu tulifanya wapi na lini?
Kuongea uongo na kashfa hapa JF unadhani kutakusaidia? Unadhani unaijua siku yako ya kufa? Unajua utakufaje? Likes na comments za mitandaoni zisikutoe ufahamu ndugu yangu, sijui umri wako ila inaonekana ni mtoto mpumbavu.
Vikundi vya kusifu na kuabudu enzi za mwendazake ilikuwa NI balaa....ilibaki kidogo waanze kunena kwa lugha ...Kama vile labasheke magushikalabobobooooo....
Sio jambo zuri kumsimanga marehemu asiyeweza kujitetea. Kumbuka hilo, kwamba na wewe ni marehemu mtarajiwa.
Wapo mamilioni ya watu wanaomheshimu na wanampenda.