mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 10,518
- 19,883
Jela ni mateso Africa na sio jela ulayaKurekebisha, sijui mafunzo nk nk ni semi za kisiasa tu hizo.
Ukweli jela ni mateso, hakuna cha kujifunza zaidi ya kujutia makosa.
Jela ni mateso Africa na sio jela ulayaKurekebisha, sijui mafunzo nk nk ni semi za kisiasa tu hizo.
Ukweli jela ni mateso, hakuna cha kujifunza zaidi ya kujutia makosa.
Mkuu elewa point yangu.Na wanafunzi je? Majaji je? Mawakili nao je? Vipi kuhusu manesi?? Mapairoti je? Hawa wote nao wanadhalilishwa?
Kujua jambo si mpaka likukute wewe ndugu..!!! Tunajuwa kuwa kuna kufa, kwani tulishawahi kufa?Mkuu elewa point yangu.
Nazungumzia magwanda ya mfungwa.
Siongelei uniforms za kazi.
Hivi umeshawahi kufungwa?
Isije ikawa nabishana na mtu hajawahi kuwa prison...
Magwanda ya jela ni udhalilishaji.
But kwa Africa for instance Malawi gereza la Mzuzu wafungwa wa muda mrefu e.g 10 years and above hawavai uniform nimeshuhudia hilo pale gerezaniHata ulaya wanavaa uniform, ni nchi gan wafungwa hawavai uniform? Labda unisaidie na Jina la gereza ili nijifunze kitu kipya
Dah..Hakunaga jela Duniani isiyo na uniform mkuu
Google ,,,Ulaya ya nchi gani ambayo wafungwa wake wanatimba skin jeans?
Kuna siku zamani Sana nilipokuwa mdogo niliwasikia jamaa fulani wakimzungumzia nyangumi.Kujua jambo si mpaka likukute wewe ndugu..!!! Tunajuwa kuwa kuna kufa, kwani tulishawahi kufa?
Kufungwa kwenye tu unaweza kukuita ni udhalilishaji... Uniform ni uniform tu, iwe ya nesi au ya mfungwa..!!
Idugunde, wewe ni mtu mbobezi kwenye masuala ya sheria na haki za binadamu. Hebu fanya uje utoe ufafanuzi kwa huyu mtoa mada.Habari wanajukwaa wenzangu, Binafsi ningeomba wajuzi wa sheria na mambo ya magereza watujuze na sisi tusiojua basi!
Sote tunajua kwamba Mh. Sabaya alipatikana na hatia na kuhukumiwa kifungo cha miaka 30 jela. Wakati huo bado anakabiliwa na mashitaka mengine yanayo mfanya aendelee kufika mahakamani akiwa kama Mfungwa mwenye kesi nyingine.
Sasa kawaida tunavyojua ukishahukumiwa ni lazima upewe uniform za Gereza zilizo na namba ya kifungo chako kifuani. Sasa kwanini Sabaya havai uniform hizo ingali na yeye ni mfungwa tayari? Maana jamaa ananyuka suti tu View attachment 2071589
au inaruhusiwa ukiwa na kesi unaweza kuzivua ukavaa kiraia tu?
Mwenye kujua ebu atueleweshe.
Asante!
Angola US wanapiga pamba tu.wanacheza basket gym ya nguvu na tv yao wanayo na watangazaji wafungwa, msosi poa wakikutoa kwa parole unapelekwa mzigoni na unalipwa mafao ulipokua jela.Ulaya ya nchi gani ambayo wafungwa wake wanatimba skin jeans?
Bank wanavaa uniform,kampuni nyingi tu wanavaa. Sijui point yako inamaanisha niniUniform ni udhalilishaji wa utu wa binadamu.
Hivi mfungwa anajisikiaje kuvaa nguo moja miaka 10?
Anajisikiaje siku akija kutembelewa na jamaa zake akiwa na magwanda?
Uniform ni moja Kati ya udhalilishaji wa mfungwa.
Walimu wetu walikuwa na kazi sana aisee. Huyu jamaa muuliza swali mbona hata mambo yalishafafanuliwa jamanAnavaa Uniform za Ufungwa anapokuwa Jela,kwa kuwa ana Kesi nyingine hawezi kupelekwa Mahakamani na Uniform za Jela,anaenda kiraia,lakini akirudi Kisongo Jela anabadili na kuvaa Jezi yake ya Jela,ndio utaratibu
Kwamba mkuu wa gereza anatatua rinda la sabaya?Halafu hilo bichwa si lilitakiwa liwe para?
Mbona amechonga…?
Si ajabu huko gerezani kwenye hicho kifungo chake akawa analala kwa mkuu wa gereza…!!
Mkuu point ni magwanda ya jela.Bank wanavaa uniform,kampuni nyingi tu wanavaa. Sijui point yako inamaanisha nini
Mkuu kuna baadhi ya wafanyakazi wa kampuni au ofisi huwa wanaficha uniforms zao.Bank wanavaa uniform,kampuni nyingi tu wanavaa. Sijui point yako inamaanisha nini
Kesi yake ni ya jinai; Civics.Hivi huyu jamaa anashtakiwa na nani
Kwamba mkuu wa gereza anatatua rinda la sabaya?
Dah..
Tembea uone mkuu..
Mimi nishafungwa France mwaka mzima.
Mergos Fleury.
No uniforms.
Mwisho wa mwezi kila mfungwa unapewa euros 20 kama huna kazi.
Ukifanya kazi na utalipwa humo euros 250 au 350 kwa mwezi.
Kila mfungwa na chumba chake,fully TV ,fridge.
Na unachaguwa chakula.
Unanunuwa chochote ndani
Nimekwenda shule nk..
Mfungwa ana kabati lake la nguo.
Mkeo/ demu anakuja kukutembelea na kugegeda pia.
Usishupaze shingo kama huna unachokijuwa mkuu.
Nimetoka na euros 2500.
Africa jela ni kukomoana na mateso.