Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 14,579
- 25,649
Na pia makosa machache sana utakuta yanafanana na ya Afrika hakuna kiongozi Ulaya atateka watu ili achukue pesa Bank ipo Nchi moja ilikua haina wafungwa kabisaa..ukisoma enzi zao kipindi cha maendeleo kulikua na watu wakatili sana mpaka kupelekea kujenga magereza hata nje ya Nchi zao ili kuwatenga waharifu...Fleury merigos.
Paris
France.
Na inchi nyingi za ulaya Mfano Swiss nk.
Wenzetu ulaya jela ni sehemu ya kukupotezea muda wako.
Na sio kuteswa au kukomolewa.