Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,469
- 17,581
Unatia aibu na uzi wako hoja ya hovyo na dhaifu
Clip ilionyeha wanavamia ili waibe simu na laki tatu? Hujui kuwa Mbowe anahusika?
makonda kafanywaje!!!Sabaya akirudi mtaani, CCM mumpe cheo chenye ulinzi wa kutosha. Raia watachukua maamuzi magumu kwa makosa yote aliyoyafanya.
Kwani Makonda alifanya nini?makonda kafanywaje!!!
mna mikwara mbuzi sana.
hakufanya kitu chochote, ni kelele za walevi tu kama zinazomhangaisha sabaya.Kwani Makonda alifanya nini?
unamtetea mume......Visasi vya kisiasa mara nyingi huzaa malicious prosecution. Malicious prosecution huharibu maisha ya watu kwa kuvuruga maisha yao na hata nyadhifa zao.
Mpaka sasa inaonekana prosecution walitumika vibaya ili wamharibie maisha yake ya kisiasa Sabaya. Yote hii ni kumpa furaha mwanasiasa Mbowe.
Mpaka sasa prosecution wanahangaika kama mtoto mdogo aliyemsingizia mwenzake kuiba peremende ili siku ipishe.
Soon Sabaya anarudi uraiani huku Mbowe akipata aibu maana hakuna cha ziada alichovuna, ubunge wa Hai alishapoteza.
Wapi uliona Mwenyekiti wa usalama wa wilaya akachukua Ak 47 kwenda kupora sh laki tatu?
Yaonekana ulikuwa unakula mezani kwa Sabaya, lakini waonaje ukiwa na subira japo kidogo usije ukakosa hata pa kuficha uso.Visasi vya kisiasa mara nyingi huzaa malicious prosecution. Malicious prosecution huharibu maisha ya watu kwa kuvuruga maisha yao na hata nyadhifa zao.
Mpaka sasa inaonekana prosecution walitumika vibaya ili wamharibie maisha yake ya kisiasa Sabaya. Yote hii ni kumpa furaha mwanasiasa Mbowe.
Mpaka sasa prosecution wanahangaika kama mtoto mdogo aliyemsingizia mwenzake kuiba peremende ili siku ipishe.
Soon Sabaya anarudi uraiani huku Mbowe akipata aibu maana hakuna cha ziada alichovuna, ubunge wa Hai alishapoteza.
Wapi uliona Mwenyekiti wa usalama wa wilaya akachukua Ak 47 kwenda kupora sh laki tatu?
Wewe pimbi nambie sabaya kamuua nani? Mashitaka ya sabaya kuna hata moja la mauaji au maropoka hapa tu.Wewe ni muuaji kwa mawazo yako ya kishenzi kabisa ya kumshabikia muuaji mwenzako Sabaya na genge lake huku ukifikiri Sabaya anasota kwa sababu ya Mbowe! Haki ni kwa watanzania na sio kwa Mbowe pekee! Na katika mashtaka ya Sabaya hakuna hata moja ya mashtaka hayo yanatoka kwa Mbowe! Ni waendesha mashtaka wa serikali waliomshtaki Sabaya na sio Mbowe. Hujui chochote cha maana ndio sababu unawaza ushenzi mtupu.