Sababu zinazowafanya wanawake wengi kufia "kitandani"

Sababu zinazowafanya wanawake wengi kufia "kitandani"

Jirani... mambo mengine Sio vizuri kuya eksipoz.. wewe ukiwa free nigongee kwangu nikupe A-z.
aisee ukitaka undugu uishe kabisa umzoee huyu mtoto Inna yani tutaita kikao cha familia, kwingine kote ruka ruka ila hapo uwe na mstari hata kama ni jirani.. hio ndio roho yangu na nampa maneno mwenyewe sitaki msaada wako.
si unaona viazi wengina nakuomba unipe mistari.. ila ukishaleta mistari yako nikiwapa wananikimbia wanakuja kwako ila hap ..hujasikia hata sku moja nikikuambia unisaidie kitu..ndio ujua kuwa unatakiwa ukae mbali kabisa..mambo ya ujirani yaishie kwenye text tu
 
aisee ukitaka undugu uishe kabisa umzoee huyu mtoto Inna yani tutaita kikao cha familia, kwingine kote ruka ruka ila hapo uwe na mstari hata kama ni jirani.. hio ndio roho yangu na nampa maneno mwenyewe sitaki msaada wako.
si unaona viazi wengina nakuomba unipe mistari.. ila ukishaleta mistari yako nikiwapa wananikimbia wanakuja kwako ila hap ..hujasikia hata sku moja nikikuambia unisaidie kitu..ndio ujua kuwa unatakiwa ukae mbali kabisa..mambo ya ujirani yaishie kwenye text tu
Haha... haya bro kila la kheri ni kisu namjua fanya yako
 
Siku hizi vitu vya kuvifuatilia kwa muda mrefu, mwanamke hayumo!
Tukifuatilia sana ni wiki moja.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwel kuna mademu wanazingua sana
 
kuna mmama nilikutana naye airpot basi tuka exchange contacts,,,mazoea weee zikaanza mada za mapenzi,,,akawa mpaka ananihonga bana me nikawa nakwepa maana ni mtu mzima japo ndo ivo mzuri,,siku tamaa ikanipanda nikakubali tulale hotel,,,,,mama anakalia dudu masaa mawili,,,,kesho yake kutwa nzima ndani kwa uchofu,,,,,,,,,,,,,,,mapenzi sio vita
 
Back
Top Bottom