cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,326
Wengi hufanya vitu kuwafuraisha marafiki mwisho wa siku wanapotea pia madawa unaweza ukawa hutumii marafiki wakaanza kukuchanganyia Hadi unakuwa addicted refer case ya Ray cNawengi sana ukiangalia utakuta crew yake yote wapo hivo hivo, ila nafikiri kingine ni mindset ya mtu tu, kuna watu wana crew kama hivo lakini unamkuta sio mtumiaji.