GUSSIE
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,866
- 11,100
Members, Kila wakati huwa nasema Mimi ndani ya ccm naangalia maslahi yangu binafsi, Nasoma upepo na kuchukua hatua za kuunga mkono upande unaosawazisha mambo yangu.
Tambua mkono mtupu haulambwi, Fanya kitu upate kitu, Nothing for nothing and Value for value, Unapewa tenda kwa unatoa thamani.
Watu wanaoishambulia Chadema sasa wengi wao sasa wamepata tenda serikalini, Vikampuni vyao ambavyo wakati wa JPM vililala usingizi sasa kidogo vinapata tenda, Mimi sikuwahi kuyumba na Biashara zangu pamoja na uwakilishi wangu kwani nafahamu nidunde na beat aina gani na kwa wakati upi?
Nasisitiza usituamini wanasiasa kabisa sisi wa Afrika, Familia zetu zina matatizo makubwa kuliko Nyie wananchi wa kawaida, Tuna mambo mengi ya kufanya binafsi kuliko Nyie wananchi wa kawaida.
Nasisitiza hata ukisema tuwe wabunge wa kudumu bado hatutaridhika siku mkituondoa kwa uzee kuwa hatuna nguvu bado tutafurukuta kutafuta teuzi.
Kelele zote hapa JF za kutaka Chadema ifanye ili mara lile ili kupindisha sheria na katiba ni kutokana sasa Vikampuni vyao vinashiba na kuvimbiwa.
Njaa ilikuwa kali sana kwa hawa wapiga kelele juu ya Chadema sasa, Ni rafiki zangu, Wengi tunafahamiana nje ya hapa Jukwaani, Na tuliwasaidia wakati ule wa JPM familia zao na Biashara zao zilipoyumba, Na hata sasa tunasaidiana.
Kiufupi pesa mitaani zipo na zinazunguka sana kwa wale wenye connection na vimiradi vya hapa na pale, Ni vyema wewe ambaye huna taarifa ukauliza utapataje njia sahihi za kupita, Usiniulize Mimi kwani hata Mimi ninazihitaji pesa zaidi za kuvimbiwa na wanasiasa tuna matatizo zaidi kuliko wewe mwananchi wa kawaida.
Bila kupiga kelele hakuna atakaye kusaidia, Tutajuaje tupo pamoja bila kuonyesha upande, Ukiwa mfupi Jitahidi kunyoosha mkono uonekane.
Msiwalaumu wana JF wafupi wanaojitahidi kunyoosha mkono waonekane, Nani atakulipa pesa kama hakuoni? Nani atakupa tenda kama hupigi kelele?
Tambua mkono mtupu haulambwi, Fanya kitu upate kitu, Nothing for nothing and Value for value, Unapewa tenda kwa unatoa thamani.
Watu wanaoishambulia Chadema sasa wengi wao sasa wamepata tenda serikalini, Vikampuni vyao ambavyo wakati wa JPM vililala usingizi sasa kidogo vinapata tenda, Mimi sikuwahi kuyumba na Biashara zangu pamoja na uwakilishi wangu kwani nafahamu nidunde na beat aina gani na kwa wakati upi?
Nasisitiza usituamini wanasiasa kabisa sisi wa Afrika, Familia zetu zina matatizo makubwa kuliko Nyie wananchi wa kawaida, Tuna mambo mengi ya kufanya binafsi kuliko Nyie wananchi wa kawaida.
Nasisitiza hata ukisema tuwe wabunge wa kudumu bado hatutaridhika siku mkituondoa kwa uzee kuwa hatuna nguvu bado tutafurukuta kutafuta teuzi.
Kelele zote hapa JF za kutaka Chadema ifanye ili mara lile ili kupindisha sheria na katiba ni kutokana sasa Vikampuni vyao vinashiba na kuvimbiwa.
Njaa ilikuwa kali sana kwa hawa wapiga kelele juu ya Chadema sasa, Ni rafiki zangu, Wengi tunafahamiana nje ya hapa Jukwaani, Na tuliwasaidia wakati ule wa JPM familia zao na Biashara zao zilipoyumba, Na hata sasa tunasaidiana.
Kiufupi pesa mitaani zipo na zinazunguka sana kwa wale wenye connection na vimiradi vya hapa na pale, Ni vyema wewe ambaye huna taarifa ukauliza utapataje njia sahihi za kupita, Usiniulize Mimi kwani hata Mimi ninazihitaji pesa zaidi za kuvimbiwa na wanasiasa tuna matatizo zaidi kuliko wewe mwananchi wa kawaida.
Bila kupiga kelele hakuna atakaye kusaidia, Tutajuaje tupo pamoja bila kuonyesha upande, Ukiwa mfupi Jitahidi kunyoosha mkono uonekane.
Msiwalaumu wana JF wafupi wanaojitahidi kunyoosha mkono waonekane, Nani atakulipa pesa kama hakuoni? Nani atakupa tenda kama hupigi kelele?