hizi ndoa za siku hizi? sasa kwa nini usimwambie mkeo na yeye awe anaenda na wakati,ajitahidi kukudekeza n the rest? tatizo lenu mnapenda kutendewa je wewe unafanya nini kumfanya mkeo aende na wakati/ nini mchango wako? unamgaramia?au hiyo hela ya kula ndio unataka aendeee saluni na kununua viwalo hapo hapo? kimada kujinyegesha ndio mtaji wake asipofanya hivyo vits yake haina mafuta! thats is a game man n wat u have just listed here r the rules kimada has to play for her to servive!!!1- wanajua kwenda na wakati. Hili jambo ni nadra sana wadada walioolewa kwani wengi wao hujisahau sana.
2-wanajua mapenzi. vimada wengi wanajuwa sana mapenz wawapo kitandani ni wa2ndu sana.
3-wanajua sana kudekeza na kuwajali wapenz wao.
4-wanavutia na wamekaa kinyegenyege.
5-wanatoa stress unazopatapa nyumbani.
Hizo ni baadhi tu, kama zipo za ziada ziweke hapa.
My take:- mke wa mtu sumu.
1- wanajua kwenda na wakati. Hili jambo ni nadra sana wadada walioolewa kwani wengi wao hujisahau sana.
2-wanajua mapenzi. vimada wengi wanajuwa sana mapenz wawapo kitandani ni wa2ndu sana.
3-wanajua sana kudekeza na kuwajali wapenz wao.
4-wanavutia na wamekaa kinyegenyege.
5-wanatoa stress unazopatapa nyumbani.
Hizo ni baadhi tu, kama zipo za ziada ziweke hapa.
My take:- mke wa mtu sumu.
....Baadhi ya...Wanawake mlioolewa ...punguzeni UVUVUZELA jamani ,mtakosa mwana na maji ya moto....
Inawezekana hata walioolewa nao huwa wazuri wanapotoka nje, tupeni uzoefu mnaotoka na wake za watu.Wanawake mlioolewa mnaipata hiyo? Mnasemaje? Swali langu kwa mtoa mada ni je ina maana kwamba hata mwanamke aliyeolewa nae akitoka nje anakuwa mchezaji mzuri!?
Halafu wakuu pia msisahau hawa dada zetu nao kama ni wa magomeni au tandale kwa mtogole au kinondoni pia si wachoyo,,,,mitandao yote unapata bila wasiwasi......wakati ukiwa nyumbani mitandao kama ya tigo network zinakua hazipatikani.
Ila jamani madada wa benki walioolewa wanatoa penzi taam sana nje ya ndoa, mliokula mnasemaje?
Hapo nakuunga mkono. wanatamanisha1- wanajua kwenda na wakati. Hili jambo ni nadra sana wadada walioolewa kwani wengi wao hujisahau sana.
2-wanajua mapenzi. vimada wengi wanajuwa sana mapenz wawapo kitandani ni wa2ndu sana.
3-wanajua sana kudekeza na kuwajali wapenz wao.
4-wanavutia na wamekaa kinyegenyege.
5-wanatoa stress unazopatapa nyumbani.
Hizo ni baadhi tu, kama zipo za ziada ziweke hapa.
My take:- mke wa mtu sumu.
hizi ndoa za siku hizi? sasa kwa nini usimwambie mkeo na yeye awe anaenda na wakati,ajitahidi kukudekeza n the rest? tatizo lenu mnapenda kutendewa je wewe unafanya nini kumfanya mkeo aende na wakati/ nini mchango wako? unamgaramia?au hiyo hela ya kula ndio unataka aendeee saluni na kununua viwalo hapo hapo? kimada kujinyegesha ndio mtaji wake asipofanya hivyo vits yake haina mafuta! thats is a game man n wat u have just listed here r the rules kimada has to play for her to servive!!!
my take; alwyz use condom ili userve nyumba kubwa!
In short kuoa au kuolewa sio mwisho wa ''kupiga'' au ''kupigwa'' nje ya ndoa.......okey ''siencourage'' uzinzi lakini 95% wanafanya hivyo na wasiofanya hivyo mbingu ni yao wakati sisi wengine toba ndiyo inayotuoka.
''nitaiona mbingu kwa msaada wa toba tu''
hizi ndoa za siku hizi? sasa kwa nini usimwambie mkeo na yeye awe anaenda na wakati,ajitahidi kukudekeza n the rest? tatizo lenu mnapenda kutendewa je wewe unafanya nini kumfanya mkeo aende na wakati/ nini mchango wako? unamgaramia?au hiyo hela ya kula ndio unataka aendeee saluni na kununua viwalo hapo hapo? kimada kujinyegesha ndio mtaji wake asipofanya hivyo vits yake haina mafuta! thats is a game man n wat u have just listed here r the rules kimada has to play for her to servive!!!
my take; alwyz use condom ili userve nyumba kubwa!