Sababu za Ndoa nyingi sana kuvunjika au kukosa amani

PNU

JF-Expert Member
Jun 19, 2020
377
2,807
Kumekuwa na malalamiko mengi kutoka kwa wanawake au wanaume juu ya matatizo ya ndoa zao, hii ni tafiti yangu fupi kuhusu vyanzo vya migogoro katika ndoa….Ila kwa huu uzi nitaeleza sababu zinazosababishwa na Mwanamke:

1. Wanawake wengi wanapenda lile tukio la sherehe ya NDOA na sio majukumu yanayo ambatana na ndoa. Wanawake wengi baada ya kuolewa wanaanza kubadilika kwa kukataa majukumu ya hudumia familia kwa upande wa majukumu ya ndani kma kupika, usafi na kumuhudumia mumewe, wengi usema sijaolewa kuwa mfanyakazi.

2.Wanawake wengi wanapenda kupekeu taarifa binafsi za wanaume zao hasa kwenye simu, jambo usilolijua 90% ya wanaume hasa vijana uwa na marafiki wa kike yaweza kuwa ni marafiki wa kawaida au mchepuko ila kitendo hicho inapelekea mke kuanzisha tafrani ndani kupitia mawasiliano aliyo yaona kwenye simu binafsi ya mumewe.

3. Wanawake wengi ufatisha mkumbo wa marafiki zao. Akiona rafiki yake kanunuliwa kitu fulani na mumewe basi naye pia anataka kufanyiwa hvyo na mumewe bila kuangalia hali halisi ya maisha yao.

4. Jeuri ya mwanamke pale anapokuwa na kipato sawa au kumzidi mumewe, hii inapelekea wanawake wengi kutowaheshimu wanaume zao na wengine uhisi anaweza kuishi mwenyewe bila ya mwanaume na ndipo anaaza kuleta mvutano.

5.Mwanaume akikuagiza kufanya kitu na husipofanya anahisi umemdharau au humuheshimu, hivyo msuguano unaanza kutokea kwenye ndoa.

6.Wanawake wengi wanabadilika sana kiurembo pindi wanapo olewa, yaana kipindi kabla ya kumuoa alikuwa akiweka nywele vizur, lotion za kunukia, nguo nzur yaan ulikuwa ukimuoa tu unasema uyu ndo mwanamke, ila baada ya kumuoa utakuta unarudi kazini unamkuta nywele zake ziko ovyo, kavaa kanga imechanika yaan yupo rafu, hii inapelekea wanaume kupoteza matamanio kwa wanawake zao haraka sana.

7. Wanawake wengi hawaridhiki na maisha waliyonayo, unakuta yeye ni anataka kushindana na wenzake na hivyo kupeleka presha kubwa sana kwa wanaume zao.

8. Wanawake waliosoma wanajiona sawa na mwanaume, upelekea kiburi na ugomvi kwenye ndoa.

9.wanawake kuruhusu wakwe kuingilia mambo ya familia zao, anachoambiwa na mama yake au baba yake au ndugu zake basi anaenda mshushia mumewe.

10. Wanawake wengi hawataki kujishusha pale wanapokosea na hii upelekea hasira kali kwa wanaume na wengine hata kufikia hatua mbaya ya kupiga.


Je wewe unahisi sababu nyingine ni ipi ambayo upelekea migororo kwenye NDOA?
 
Kumekuwa na malalamiko mengi kutoka kwa wanawake au wanaume juu ya matatizo ya ndoa zao, hii ni tafiti yangu fupi kuhusu vyanzo vya migogoro katika ndoa….Ila kwa huu uzi nitaeleza sababu zinazosababishwa na Mwanamke:

1. Wanawake wengi wanapenda lile tukio la sherehe ya NDOA na sio majukumu yanayo ambatana na ndoa. Wanawake wengi baada ya kuolewa wanaanza kubadilika kwa kukataa majukumu ya hudumia familia kwa upande wa majukumu ya ndani kma kupika, usafi na kumuhudumia mumewe, wengi usema sijaolewa kuwa mfanyakazi.

2.Wanawake wengi wanapenda kupekeu taarifa binafsi za wanaume zao hasa kwenye simu, jambo usilolijua 90% ya wanaume hasa vijana uwa na marafiki wa kike yaweza kuwa ni marafiki wa kawaida au mchepuko ila kitendo hicho inapelekea mke kuanzisha tafrani ndani kupitia mawasiliano aliyo yaona kwenye simu binafsi ya mumewe.

3. Wanawake wengi ufatisha mkumbo wa marafiki zao. Akiona rafiki yake kanunuliwa kitu fulani na mumewe basi naye pia anataka kufanyiwa hvyo na mumewe bila kuangalia hali halisi ya maisha yao.

4. Jeuri ya mwanamke pale anapokuwa na kipato sawa au kumzidi mumewe, hii inapelekea wanawake wengi kutowaheshimu wanaume zao na wengine uhisi anaweza kuishi mwenyewe bila ya mwanaume na ndipo anaaza kuleta mvutano.

5.Mwanaume akikuagiza kufanya kitu na husipofanya anahisi umemdharau au humuheshimu, hivyo msuguano unaanza kutokea kwenye ndoa.

6.Wanawake wengi wanabadilika sana kiurembo pindi wanapo olewa, yaana kipindi kabla ya kumuoa alikuwa akiweka nywele vizur, lotion za kunukia, nguo nzur yaan ulikuwa ukimuoa tu unasema uyu ndo mwanamke, ila baada ya kumuoa utakuta unarudi kazini unamkuta nywele zake ziko ovyo, kavaa kanga imechanika yaan yupo rafu, hii inapelekea wanaume kupoteza matamanio kwa wanawake zao haraka sana.

7. Wanawake wengi hawaridhiki na maisha waliyonayo, unakuta yeye ni anataka kushindana na wenzake na hivyo kupeleka presha kubwa sana kwa wanaume zao.

8. Wanawake waliosoma wanajiona sawa na mwanaume, upelekea kiburi na ugomvi kwenye ndoa.

9.wanawake kuruhusu wakwe kuingilia mambo ya familia zao, anachoambiwa na mama yake au baba yake au ndugu zake basi anaenda mshushia mumewe.

10. Wanawake wengi hawataki kujishusha pale wanapokosea na hii upelekea hasira kali kwa wanaume na wengine hata kufikia hatua mbaya ya kupiga.


Je wewe unahisi sababu nyingine ni ipi ambayo upelekea migororo kwenye NDOA?
Umeongelea wanawake tu na je wasela vibwengo walokimbilia kuoa. Rudia ubalance mizani
 
Thamani ya upendo imeshuka: sahv watu wengi utafsiri upendo kwa kuangalia material things wakat wengne wakitafsiri upendo ni sex tu

Uvumilivu hakuna tena kwa pande zote mbili.

Kuingia kwenye ndoa wakat ujakomaa kiakili.

Kosa kubwa tulilolifanya/ tunalolifanya ni kumsahau mtoto wa kiume; dunia ya leo imejikita zaid kumuinua mtoto wa kike katika kila nyaja ila imesahau kumuandaa mtoto wa kiume jins ya kuja kuishi na mwanamke aliye wezeshwa.
 
Kumekuwa na malalamiko mengi kutoka kwa wanawake au wanaume juu ya matatizo ya ndoa zao, hii ni tafiti yangu fupi kuhusu vyanzo vya migogoro katika ndoa….Ila kwa huu uzi nitaeleza sababu zinazosababishwa na Mwanamke:

1. Wanawake wengi wanapenda lile tukio la sherehe ya NDOA na sio majukumu yanayo ambatana na ndoa. Wanawake wengi baada ya kuolewa wanaanza kubadilika kwa kukataa majukumu ya hudumia familia kwa upande wa majukumu ya ndani kma kupika, usafi na kumuhudumia mumewe, wengi usema sijaolewa kuwa mfanyakazi.

2.Wanawake wengi wanapenda kupekeu taarifa binafsi za wanaume zao hasa kwenye simu, jambo usilolijua 90% ya wanaume hasa vijana uwa na marafiki wa kike yaweza kuwa ni marafiki wa kawaida au mchepuko ila kitendo hicho inapelekea mke kuanzisha tafrani ndani kupitia mawasiliano aliyo yaona kwenye simu binafsi ya mumewe.

3. Wanawake wengi ufatisha mkumbo wa marafiki zao. Akiona rafiki yake kanunuliwa kitu fulani na mumewe basi naye pia anataka kufanyiwa hvyo na mumewe bila kuangalia hali halisi ya maisha yao.

4. Jeuri ya mwanamke pale anapokuwa na kipato sawa au kumzidi mumewe, hii inapelekea wanawake wengi kutowaheshimu wanaume zao na wengine uhisi anaweza kuishi mwenyewe bila ya mwanaume na ndipo anaaza kuleta mvutano.

5.Mwanaume akikuagiza kufanya kitu na husipofanya anahisi umemdharau au humuheshimu, hivyo msuguano unaanza kutokea kwenye ndoa.

6.Wanawake wengi wanabadilika sana kiurembo pindi wanapo olewa, yaana kipindi kabla ya kumuoa alikuwa akiweka nywele vizur, lotion za kunukia, nguo nzur yaan ulikuwa ukimuoa tu unasema uyu ndo mwanamke, ila baada ya kumuoa utakuta unarudi kazini unamkuta nywele zake ziko ovyo, kavaa kanga imechanika yaan yupo rafu, hii inapelekea wanaume kupoteza matamanio kwa wanawake zao haraka sana.

7. Wanawake wengi hawaridhiki na maisha waliyonayo, unakuta yeye ni anataka kushindana na wenzake na hivyo kupeleka presha kubwa sana kwa wanaume zao.

8. Wanawake waliosoma wanajiona sawa na mwanaume, upelekea kiburi na ugomvi kwenye ndoa.

9.wanawake kuruhusu wakwe kuingilia mambo ya familia zao, anachoambiwa na mama yake au baba yake au ndugu zake basi anaenda mshushia mumewe.

10. Wanawake wengi hawataki kujishusha pale wanapokosea na hii upelekea hasira kali kwa wanaume na wengine hata kufikia hatua mbaya ya kupiga.


Je wewe unahisi sababu nyingine ni ipi ambayo upelekea migororo kwenye NDOA?
Sherehe ni harusi mkuu sio sherehe ya ndoa.😅

Wanawake wanapenda harusi sana kuliko kifuatacho baada ya harusi. It takes a strong person kuvumilia zile roller coaster za maisha. Kuna lemonade and Sweetness katika maisha ya ndoa.

Vyote huwa ni vipindi ambavyo havidumu sema watu wanakuwaga hawana uvumilivu kwenye shida hasa jamii ya watoto wa kike wa kizazi cha leo.

Wengi akilini mwao wanapenda starehe na raha tu ila shida huwa hawataki kuzisikia sasa kwenye maisha huwezi kujitenga na changamoto. Wazazi wetu akina mama na akina bibi walivumilia nyakati za shida na kuwa supportive waliamini katika teamwork spirit.

Wanawake wa kileo wale wavivu wa kujishughulisha na huamini kuwa ndoa ni stepping stone kimaisha. Yani akiolewa atapata kila anachotaka and extras ila akifika huko ndoani akakuta mambo ni tofauti basi badala ya kupambana na maisha ataanza visa kwa mume tu ilimradi mifarakano.

Kwa hali kama hii ndoa itaendelea kuwa changamoto kwa vizazi vya kileo amini kwamba.
 
Umeongelea wanawake tu na je wasela vibwengo walokimbilia kuoa. Rudia ubalance mizani
Wasela vibwengo walikuwepo tangu mwaka 1947 mkuu!

Madingi walevi tumewashuhudia sana yani mke anapambana kuendesha familia na vipigo juu ila still yupo na mumewe na maisha yanaenda tu. Jamaa ni mlevi haeleweki ila ndio baba wa familia na ikitokea anahitajika kuwakilisha familia anakuwepo. Mume anapambana na kilimo na mkewe akishavuna tu ni mwendo wa bata tu. Mke yupo haondoki wala hasumbuani na mume. Leo hii ni mwanamke gani anayaweza hayo?

Leo hii mwanamke ana mume msomi na mtulivu ila kwa kuwa haendeshi prado kama flani pale ofisini kwao basi mke ni dharau na kejeli tu mjengoni na kumuona mumewe hana maana kwa kumlinganisha na vijana wenzie ambao ni rafiki za mumewe. Kweli tunategemea ustawi kwa akili za mwanamke kama huyu.

Ndoa ni mwanamke jamani akiwa na mawenge in anyhow jueni hamtoboi. Ndoa itavunjika tu aina jinsi. Yani mwanamke akianza kufanya vituko tu mjengoni jua familia imeparanganyika tayari.
 
Mm naona wanawake wanajielewa zaidi kuliko wanaume. Mwanamke ndiye anayetembea na lengo la Mungu ,anachohitaji mwanamke ni kuishi ili aweze kuzaa watoto na hata katika makezi mwanamke anapambana zaidi. Mwanaume ni shetani,mnyama na hana huruma kwa mwanamke na ndio maana dhambi ameumbiwa mwanaume. Mwanaume yy ni tamaa ya ngono tu kichwani mwake na ndio wanaokimbia mimba na ndio wanawalazimisha wanawake kuwaingilia ndani ya siku 2 baada ya kujifungua. Mwanaume ni mdhaifu sana kwenye uke na mwanamke mdhaifu kwa mtoto na hela
 
adingi walevi tumewashuhudia sana yani mke anapambana kuendesha familia na vipigo juu ila still yupo na mumewe na maisha yanaenda tu. Jamaa ni mlevi haeleweki ila ndio baba wa familia na ikitokea anahitajika kuwakilisha familia anakuwepo. Mume anapambana na kilimo na mkewe akishavuna tu ni mwendo wa bata tu. Mke yupo haondoki wala hasumbuani na mume. Leo hii ni mwanamke gani anayaweza hayo?
umeona ndo cha maaana
 
umeona ndo cha maaana
Nimetoa mfano tu.

Kama tumetoka katika kizazi hicho mlichoita ni mfumo dume. Leo hii mwanamke yuko empowered, exposed to all resources na elimu mnazo mbona hamtulii kwenyw ndoa.

Yani mmepewa nguvu na mamlaka sawa tu na wanaume ila hizo nguvu mnazitumia kushindana na wanaume badala ya kuishi nao vizuri😅 unafikiri kumchallenge mwanaume ndio utaishi vizuri kwenye ndoa.
 
Mtoa mada shuka na mkeka wa matatizo ya mwanaume yanayo sababisha ndoa za sasa kuvunjika.
Ili mzani u-balance
 
Mtoa mada shuka na mkeka wa matatizo ya mwanaume yanayo sababisha ndoa za sasa kuvunjika.
Ili mzani u-balance
Matatizo makuu ya wanaume:

1.Kukosa ajira

2.Kukosa hela

3.Kukosa status

4.Kukosa mipango ya kuondoa hayo majanga 1,2 na 3.

Matatizo makuu ya wanawake:

1.Ujuaji

2.Umalaya (demu mmoja kuwa na mabwana 6)

3.Utapeli (Demu kupenda hela na sio muhusika)

4.Uvivu na kutopenda kujishughulisha na kutegemea kuhudumiwa (hii hupelekea tatizo namba 2 & 3 kushamiri)
 
Back
Top Bottom