gekaboy
Member
- Nov 27, 2021
- 49
- 103
Changamoto za ndoa zipo Toka enzi na enzi ila wakati huu zimekuwa nyingi mpk kupelekea ndoa nyingi kivunjika zikiwa na miaka 3 au 2 wengne mpk 1. Na ukiona ndoa imedumu kizazi hichi ujue kila mmoja amejifany mjinga
Kwa asili Ndoa inalindwa na mwanamke lkn maisha yamebadilika zamani wanawake walikuw wanaandaliwa kuwa tegemezi maan akijua kila kitu mume
Lakini majira yamebadilika wanawake wanasoma wanapata kazi zao kubwa hata ambao hawajasoma wanajishughulisha wafanyabiashara zao kwahyo wanaweza kujitawala kwahiyo mwanaume ukikoa kidogo tu nguo zinaanza kupakiwa ila zamani unakuta mwanamke anaweza anarudi kukaa na Baba na mama nyumbn Bora tu atulie kwa mumewe
NB: kama hipo sababu nyingn dodosha kweny comments
Kwa asili Ndoa inalindwa na mwanamke lkn maisha yamebadilika zamani wanawake walikuw wanaandaliwa kuwa tegemezi maan akijua kila kitu mume
Lakini majira yamebadilika wanawake wanasoma wanapata kazi zao kubwa hata ambao hawajasoma wanajishughulisha wafanyabiashara zao kwahyo wanaweza kujitawala kwahiyo mwanaume ukikoa kidogo tu nguo zinaanza kupakiwa ila zamani unakuta mwanamke anaweza anarudi kukaa na Baba na mama nyumbn Bora tu atulie kwa mumewe
NB: kama hipo sababu nyingn dodosha kweny comments