Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
What?????
Mimi naamini pale mwanamke anapoleta dharau za kujirudia mbele za watu anastahili kibondo mnapokuwa faragha!!
Hahaha!!! Kaunga umeniacha hoi aisee lolPressure atakayokupa ni ya kunako Sita kwa Sita tu, hivyo usihofu! Hussy baby umesikia eeh; mpagawishe mpaka aloose mapigo ya moyo! LOL
Hivi inawezekana mwanaume akishampiga mkewe hujutia? Hutamani asingefanya hivyo?
Bwana sijui kama wanajuta from the heart; mimi nilikuwa napigwa hasa, imagine Simu inappndwa; Nguo zachanwa, mikoba yachanwa; nakuwa abused sexually no matter what state ya monthly circle ilivyo then in the morning the guy is crying begging for forgiveness and swearing that harudii tena, jioni anakuletea vitu mara mbili ya hivyo!
Niulize kosa lilikuwa nini? Kunikuta na chupi ambayo hajanunua yeye; n remember l am working na mshahara mzuri sana!
After a month or so anarudia; kisa umesafiri kikazi na wafanyakazi wa kiume. This time atatishia hadi kujiua; he was a real psycho!
Kaunga; Hivi unajua kuwa mwanamke ni mtu mzima? Anakanywa mtoto mdogo, mtu mzima mnajadiliana! Je ofisini secretary wako akikosea pamoja na kwamba 'umemkanya' unampiga?
Na wewe mf; mkeo akikukanya kunywa pombe na kuchelewa kurudi nyumbani usiposikia akupige?
Maana yangu kila mtu anakwazwa once in a while; je njia rahisi ya kumdispline mtu ni kipigo?
Kaunga
Waulize wale wanaowapiga wake zao au waume zao kwa nini inatokea hivyo? Mimi na wewe tunaona siyo sawa lakini wao waweza kuwa na sababu za msingi.