Sababu za mauaji ya Tabata

Sababu za mauaji ya Tabata

mjuba101

Senior Member
Joined
Oct 24, 2013
Posts
159
Reaction score
65
Ndugu wadau kumbe Sababu za mauaji ya tabata its pure Ufoo saro type of scandal, yaan Mama mzazi anakula dili na bintie kwa Asilimia 100%.

"Uhusiano wa Christina na Munisi

Rafiki wa Munisi aliyejitambulisha kwa jina la Samwel Alex alisema Christian alikuwa mchumba wa Munisi na walikuwa wamepanga kuoana.

Alisema Munisi baada ya kuwa na wasiwasi na mchumba wake ndipo alipoamua kumpigia simu mama mzazi wa Christina na kumwambia kuwa amesikia mwanaye yupo hapo Dar es Salaam lakini alikataa na kumweleza kuwa amesafiri kwenda Moshi.

“Ninawafahamu kwa muda mrefu, Christina alikuwa anafanya kazi Barclays Bank na Munisi ni mchumba wake wa muda mrefu kwani alikuwa anajulikana hata kwa ndugu zake wote,” alisema Alex."

Pia kwa mujibu wa confirmation kutoka Hospital awaliokufa ni wawili tu pamoja na Munisi mwenyewe, wengine wote ni majeruhi.


Source: Mwananchi magazine
 
Hakuna sababu inayoweza kuhalalisha mauaji hata kama wangekuwa wanakula dili na bintiye 200%,bado si sababu ya kutosha kuondosha uhai wa mtu yeyote.
 
Haya mapombe ya kulala nayo kichwani noma. Tabata ≠ Ilala; au kuna mauaji mengine tena; make dar sasa ni noma. Nilowaahidi kuwatembelea wanisamehe - MWANZA KWETU HAKUNA NOMA.
 
"Source: Mwananchi magazine" ni kitu gani?

Sent from my BlackBerry 8900 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom