SMU
JF-Expert Member
- Feb 14, 2008
- 9,616
- 7,863
Ndio. Hiyo ndio ndoto yangu. Kama wakiweza kuwafundisha 'wajinga' hao na kuwasaidia wafaulu hiyo necta, huoni kuwa itakuwa ni jambo jema zaidi?....kuliko kuchukuwa ambao tayari 'wanajiweza' ambao hata wakienda shule nyingine bado wanaweza kufanya vizuri..... Wachukue waliofeli ambao chance ya kugaragara kwene NECTA ni kubwa na wazazi mwishoe wakose imani na shule? Is that what u want?
Naelewa perspective yako kuwa shule kwa sasa ni biashara zaidi na mmiliki/mfanya biashara anayo haki ya kufanya lolote ili kuongeza faida ili muradi havunji sheria.