Egwugu
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 17,558
- 8,555
- Thread starter
- #21
wtu wanaokula ndizi na samaki wa maji baridi ubongo kidogo akili nyingi. we tafuta migomba ilipo uone ccm inavopata shida.CCM WANAIWEZEA BAHARI
Huyu hatarudi kwako mkuu make alihisi watz wote wamezaliwa pwani ya bahari kumbe wapo wengine kwao ndizi ndo kila kitu badala ya mchuzi wa pweza na kacholi