BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,020
Hizi hapa chini ni kashfa za Mkapa. Je, alistahili kupata Nishani ya Msanii!? Sidhani kama hao walionyimwa nishani hizo za kisanii wana kashfa nzito zaidi ya Mkapa.
Kashfa ya kufanya biashara akiwa Ikulu, kashfa ya ununuzi wa ndege ya Rais, helicopters za jeshi na magari ya jeshi, mkataba wa kuingiza Makaburu kutoka RSA na kuwapa management positions pale TANESCO, kashfa ya mkataba wa madini ambapo tunaambulia 3% tu, kashfa ya uuzwaji wa nyumba za Serikali, kashfa ya wizi uliofanywa na Mkapa wa Kiwira Coal Mining, kashfa ya wizi wa EPA, Meremeta na Kagoda ambao hizo zpte zilitokea wakati wa Mkapa na kashfa ya ununuzi wa rada.
Kashfa ya kufanya biashara akiwa Ikulu, kashfa ya ununuzi wa ndege ya Rais, helicopters za jeshi na magari ya jeshi, mkataba wa kuingiza Makaburu kutoka RSA na kuwapa management positions pale TANESCO, kashfa ya mkataba wa madini ambapo tunaambulia 3% tu, kashfa ya uuzwaji wa nyumba za Serikali, kashfa ya wizi uliofanywa na Mkapa wa Kiwira Coal Mining, kashfa ya wizi wa EPA, Meremeta na Kagoda ambao hizo zpte zilitokea wakati wa Mkapa na kashfa ya ununuzi wa rada.