Sababu za ACT kukubalika

Sababu za ACT kukubalika

Dotto C. Rangimoto

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2012
Posts
1,985
Reaction score
1,286
ACT

Ndio chama pekee kilichokubalika mapema tangu kipatiwe usajili wa muda. Hakuna mkono wa mtu, bali watanzania wameielewa ile misingi yetu kumi, na wanaamini ndio njia pekee ya kutufikisha katika maendeleo himilivu.

Uzalendo
Usawa
Uadilifu
Uwazi
Uwajibikaji
Demokrasia Rasilimali
Hifadhi ya jamii
Utu
Umoja wa Afrika
Kujitegemea, bidii na weledi katika kazi.

Njano5.
0784845394
 
ACT chama cha wazalendo na wajeruhiwa wa kisiasa.
 
Zaidi ya humu jf na facebook sijawahi kuona au kusikia chochote kuhusu hicho chama.
 
Mpaka sasa najua kimekubalika kwa jaji Mtungi lakini zingine mbwembwe tu,ebu jipangeni kama mnataka kweli kuwa chama cha siasa baadae.
 
ACT

Ndio chama pekee kilichokubalika mapema tangu kipatiwe usajili wa muda. Hakuna mkono wa mtu, bali watanzania wameielewa ile misingi yetu kumi, na wanaamini ndio njia pekee ya kutufikisha katika maendeleo himilivu.

Uzalendo
Usawa
Uadilifu
Uwazi
Uwajibikaji
Demokrasia Rasilimali
Hifadhi ya jamii
Utu
Umoja wa Afrika
Kujitegemea, bidii na weledi katika kazi.

Njano5.
0784845394

nasikia mnataka kukiendesha kama kile cha Joseph Kony wa Uganda ambacho kinatumia amri kumi za musa.
 
ACT

Ndio chama pekee kilichokubalika mapema tangu kipatiwe usajili wa muda. Hakuna mkono wa mtu, bali watanzania wameielewa ile misingi yetu kumi, na wanaamini ndio njia pekee ya kutufikisha katika maendeleo himilivu.

Uzalendo
Usawa
Uadilifu
Uwazi
Uwajibikaji
Demokrasia Rasilimali
Hifadhi ya jamii
Utu
Umoja wa Afrika
Kujitegemea, bidii na weledi katika kazi.

Njano5.
0784845394

😛eace:ihi ndio mpango mzima,akaka chama kenu kasubiri kufuata kaburi la [adc][cck] cdm haikujengwa kwa miezi2 au kupitia mitandao kama ninyi. kimejengwa kwa miaka mingi kazi mnayo. ninyi mnaozani mtaimaliza chadema kupitia act ni kupoteza muda wenu.
 
Chama Facebook na twiter aha aha ahaaaA Zitto taka taka kweli

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Sasa we hilo linamba lako unaliweka kila mahali ili iweje? Badae uanze kulialia umetishiwa maisha...mxiiiiuuuu.....
 
Hiki chama kila kikitajwa humu JF wanaopata shida ni Chadema hivi ni kwa nini, povu linawatoka ovyo.
 
Back
Top Bottom