Fitinamwiko
JF-Expert Member
- Aug 13, 2012
- 4,803
- 1,419
ACT ni mradi wa CCM
Hili naona ni tangazo la kibiashara la ACT
muulize bwana ako anajua mpaka ofisi zilipo
shida yko iko wapi hasaaaa?????
Hiki chama kila kikitajwa humu JF wanaopata shida ni Chadema hivi ni kwa nini, povu linawatoka ovyo.
ACT
Ndio chama pekee kilichokubalika mapema tangu kipatiwe usajili wa muda. Hakuna mkono wa mtu, bali watanzania wameielewa ile misingi yetu kumi, na wanaamini ndio njia pekee ya kutufikisha katika maendeleo himilivu.
Uzalendo
Usawa
Uadilifu
Uwazi
Uwajibikaji
Demokrasia Rasilimali
Hifadhi ya jamii
Utu
Umoja wa Afrika
Kujitegemea, bidii na weledi katika kazi.
Njano5.
0784845394
Kinakubaliwa na nani hata uchaguzi wa viongozi hamjafany& kazi kupeana vyeo tu.. Hiki chama kimekufa hata chalize hakijafika
Mkuu, nayamiss yale mashairi yako ya kusifu ACT!biashara gani???
biashara gani???
Sasa ndugu yangu hii namba unatafuta demu au?
ACT
Ndio chama pekee kilichokubalika mapema tangu kipatiwe usajili wa muda. Hakuna mkono wa mtu, bali watanzania wameielewa ile misingi yetu kumi, na wanaamini ndio njia pekee ya kutufikisha katika maendeleo himilivu.
Uzalendo
Usawa
Uadilifu
Uwazi
Uwajibikaji
Demokrasia Rasilimali
Hifadhi ya jamii
Utu
Umoja wa Afrika
Kujitegemea, bidii na weledi katika kazi.
Njano5.
0784845394
labda chalinze ya kwenu ndo hakijafika.
Sasa ndugu yangu hii namba unatafuta demu au?
Chama cha wasaliti na mamluki hakiwezi kufika popote zaidi ya mwandiga tu!
Bro,ungeeleweka kama ungeandika '' sababu za ACT kukubalika na baadhi ya watu katika baadhi ya wilaya za mkoa wa Kigoma'' kila mtu angekuelewa vizuriACT
Ndio chama pekee kilichokubalika mapema tangu kipatiwe usajili wa muda. Hakuna mkono wa mtu, bali watanzania wameielewa ile misingi yetu kumi, na wanaamini ndio njia pekee ya kutufikisha katika maendeleo himilivu.
Uzalendo
Usawa
Uadilifu
Uwazi
Uwajibikaji
Demokrasia Rasilimali
Hifadhi ya jamii
Utu
Umoja wa Afrika
Kujitegemea, bidii na weledi katika kazi.
Njano5.
0784845394