Sababu za ACT kukubalika

Sababu za ACT kukubalika

Chama cha wasaliti lazima kikubalike haraka. Maana kujiunga tu huko tayari ni ajira na watanzania kibao tunaishi chini ya dola moja.
Subiri kwenye kura ndio utaelewa vizuri kuwa unawanachama au wafuasi wasaliti kama wewe.
 
Hiki chama kila kikitajwa humu JF wanaopata shida ni Chadema hivi ni kwa nini, povu linawatoka ovyo.

kwa sababu ni tawi la ccm.na chadema tulishaapa hatubakizi hata salia lolote la ccm.hakuna cha povu wala nini dada yangu,hapa ni kazi tu ya ukombozi.
 
ACT

Ndio chama pekee kilichokubalika mapema tangu kipatiwe usajili wa muda. Hakuna mkono wa mtu, bali watanzania wameielewa ile misingi yetu kumi, na wanaamini ndio njia pekee ya kutufikisha katika maendeleo himilivu.

Uzalendo
Usawa
Uadilifu
Uwazi
Uwajibikaji
Demokrasia Rasilimali
Hifadhi ya jamii
Utu
Umoja wa Afrika
Kujitegemea, bidii na weledi katika kazi.

Njano5.
0784845394

Sasa ndugu yangu hii namba unatafuta demu au?
 
Chema chajiuza, kibaya chajitembeza.

Tafakari!
 
ACT

Ndio chama pekee kilichokubalika mapema tangu kipatiwe usajili wa muda. Hakuna mkono wa mtu, bali watanzania wameielewa ile misingi yetu kumi, na wanaamini ndio njia pekee ya kutufikisha katika maendeleo himilivu.

Uzalendo
Usawa
Uadilifu
Uwazi
Uwajibikaji
Demokrasia Rasilimali
Hifadhi ya jamii
Utu
Umoja wa Afrika
Kujitegemea, bidii na weledi katika kazi.

Njano5.
0784845394

alliance for ccm and traitors.ACT.period!
 
ACT

Ndio chama pekee kilichokubalika mapema tangu kipatiwe usajili wa muda. Hakuna mkono wa mtu, bali watanzania wameielewa ile misingi yetu kumi, na wanaamini ndio njia pekee ya kutufikisha katika maendeleo himilivu.

Uzalendo
Usawa
Uadilifu
Uwazi
Uwajibikaji
Demokrasia Rasilimali
Hifadhi ya jamii
Utu
Umoja wa Afrika
Kujitegemea, bidii na weledi katika kazi.

Njano5.
0784845394
Bro,ungeeleweka kama ungeandika '' sababu za ACT kukubalika na baadhi ya watu katika baadhi ya wilaya za mkoa wa Kigoma'' kila mtu angekuelewa vizuri
 
Hivi ACT nini jamani?,mbona JF ndo kinasemewa sana?.Huku Arusha hakiko,kiko kinadharia zaidi,yaani JF,kuliko uhalisia.
 
Back
Top Bottom