Injinia Kitini
Member
- Dec 29, 2012
- 58
- 34
Hivi ACT nini jamani?,mbona JF ndo kinasemewa sana?.Huku Arusha hakiko,kiko kinadharia zaidi,yaani JF,kuliko uhalisia.
Mkuu upo kama mimi hiki chama sikisikii sehemu nyingine zaidi ya jf
Hivi ACT nini jamani?,mbona JF ndo kinasemewa sana?.Huku Arusha hakiko,kiko kinadharia zaidi,yaani JF,kuliko uhalisia.
Hivi ACT nini jamani?,mbona JF ndo kinasemewa sana?.Huku Arusha hakiko,kiko kinadharia zaidi,yaani JF,kuliko uhalisia.
😛eace:ihi ndio mpango mzima,akaka chama kenu kasubiri kufuata kaburi la [adc][cck] cdm haikujengwa kwa miezi2 au kupitia mitandao kama ninyi. kimejengwa kwa miaka mingi kazi mnayo. ninyi mnaozani mtaimaliza chadema kupitia act ni kupoteza muda wenu.
Tuliza mapepe ndugu mwenezi wa chama cha mtandaoni, ndivyo changamoto za kujenga chama zilivyo, ulidhani lelemamapunguza bange basi
ACT
Ndio chama pekee kilichokubalika mapema tangu kipatiwe usajili wa muda. Hakuna mkono wa mtu, bali watanzania wameielewa ile misingi yetu kumi, na wanaamini ndio njia pekee ya kutufikisha katika maendeleo himilivu.
Uzalendo
Usawa
Uadilifu
Uwazi
Uwajibikaji
Demokrasia Rasilimali
Hifadhi ya jamii
Utu
Umoja wa Afrika
Kujitegemea, bidii na weledi katika kazi.
Njano5.
0784845394