prs
JF-Expert Member
- Feb 22, 2013
- 2,642
- 3,375
ACT
Ndio chama pekee kilichokubalika mapema tangu kipatiwe usajili wa muda. Hakuna mkono wa mtu, bali watanzania wameielewa ile misingi yetu kumi, na wanaamini ndio njia pekee ya kutufikisha katika maendeleo himilivu.
Uzalendo
Usawa
Uadilifu
Uwazi
Uwajibikaji
Demokrasia Rasilimali
Hifadhi ya jamii
Utu
Umoja wa Afrika
Kujitegemea, bidii na weledi katika kazi.
Njano5.
0784845394
Ni bora mngoje kusifiwa..Nimeuliza Maswali zaidi ya Mara 3 Sijapatiwa majibu..Na mara ya Mwisho nilimuuliza Kitila Mkumbo..
Mnawajibika kwa nani?
Last edited by a moderator: