Sababu za ACT kukubalika

Sababu za ACT kukubalika

ACT

Ndio chama pekee kilichokubalika mapema tangu kipatiwe usajili wa muda. Hakuna mkono wa mtu, bali watanzania wameielewa ile misingi yetu kumi, na wanaamini ndio njia pekee ya kutufikisha katika maendeleo himilivu.

Uzalendo
Usawa
Uadilifu
Uwazi
Uwajibikaji
Demokrasia Rasilimali
Hifadhi ya jamii
Utu
Umoja wa Afrika
Kujitegemea, bidii na weledi katika kazi.

Njano5.
0784845394

Ni bora mngoje kusifiwa..Nimeuliza Maswali zaidi ya Mara 3 Sijapatiwa majibu..Na mara ya Mwisho nilimuuliza Kitila Mkumbo..

Mnawajibika kwa nani?
 
Last edited by a moderator:
Hiki chama kila kikitajwa humu JF wanaopata shida ni Chadema hivi ni kwa nini, povu linawatoka ovyo.

Hakuna tafauti kati ya ibilisi na shetani,ccm na act ni sawa na ibilisi au shetani ndio maana watu wa MUNGU tunapata shida kila tumsikiapo.
 
Unafanya kampeni kwenye mtandao ambao niwatanzania 5.6% ndiyo wanatumia kibaya zaidi wenyekuangalia mambo yakisiasa ni 2.8% ndiyo upate wanachama mashabiki na wafuasi bado mnakazi kubwa
 
Chama cha udugu hiki bana , eti sifa kuu ya kuwa kiongozi ni lazima uwe Uliwahi ama kufukuzwa au kuadhibiwa kwa MAKOSA ya usaliti Chadema ........kila mwanachama ni kiongozi , tena wanateuana kienyeji , ukibisha niambie kikao kilichomteua Shaban Mambo , aliyejiunga juzi kuwa Makamu Mwenyekiti wa Taifa wa ACT ......... KAMA bado ni Mbichi , nitajie mwanachama mmoja wa kawaida huko ACT ambae hana cheo ......
 
Hahaa..Association of C.C.M and all Traitors(ACT) mtatapatapa sana
 
watanzania tumekuwa mashabiki bila kujua tunacho shabikia hawa cdm wanazingua yaani mtu akipishana mawazo na mboe basi yeye msaliti na kingine ebu cheki mawazo yake ni dhaifu sana na kwa mtindo huu wiki tatu zijayo tutamuita lissu msaliti ACT nyumbani kwa fikra huru.
 
haya maCDM na maCCM na maUKAWA ni maxhendhi sana pambafu zao

jamani ntapata wapi kadi ya chama ACT?

.made in mby city.
 
Chama cha udugu hiki bana , eti sifa kuu ya kuwa kiongozi ni lazima uwe Uliwahi ama kufukuzwa au kuadhibiwa kwa MAKOSA ya usaliti Chadema ........kila mwanachama ni kiongozi , tena wanateuana kienyeji , ukibisha niambie kikao kilichomteua Shaban Mambo , aliyejiunga juzi kuwa Makamu Mwenyekiti wa Taifa wa ACT ......... KAMA bado ni Mbichi , nitajie mwanachama mmoja wa kawaida huko ACT ambae hana cheo ......
CC .armi
 
ACT

Ndio chama pekee kilichokubalika mapema tangu kipatiwe usajili wa muda. Hakuna mkono wa mtu, bali watanzania wameielewa ile misingi yetu kumi, na wanaamini ndio njia pekee ya kutufikisha katika maendeleo himilivu.

Uzalendo
Usawa
Uadilifu
Uwazi
Uwajibikaji
Demokrasia Rasilimali
Hifadhi ya jamii
Utu
Umoja wa Afrika
Kujitegemea, bidii na weledi katika kazi.

Njano5.
0784845394

Unaelewa nini kuhusu kukubalika? Uzalendo wa ACT ni upi?
 
Hiki nacho chama?!! Na kama kweli ni chama kitakuwa kimejaza wabembe,wabwali na wagoma. Ila kwa mtanzania halisi huwezi shabikia upuuzi huu.
 
Aha aha ahaaaaaa ndugai kweli wewe!! Wavuta bangi nyie mnakubalika na mabob Marley wenzenu

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Hiki chama nimebahatika kusoma katiba yake ni Moto wa kuotea mbali.
 
ACT

Ndio chama pekee kilichokubalika mapema tangu kipatiwe usajili wa muda.
Hakuna mkono wa mtu, bali watanzania wameielewa ile misingi yetu kumi,
na wanaamini ndio njia pekee ya kutufikisha katika maendeleo himilivu.

Uzalendo
Usawa
Uadilifu
Uwazi
Uwajibikaji
Demokrasia Rasilimali
Hifadhi ya jamii
Utu
Umoja wa Afrika
Kujitegemea, bidii na weledi katika kazi.

Njano5.
0784845394

Kinakubaliwa na nani hata uchaguzi wa viongozi hamjafany& kazi kupeana vyeo tu.. Hiki chama kimekufa hata chalize hakijafika
 
Back
Top Bottom