mtzmweusi
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 8,700
- 9,070
Wana mmu habari zenu,mie nimefanya karesearch na nimegundua kuwa moja ya sababu tena kubwa inayowafanya wanaume kutoka nje ya ndoa zao ni hii,wanawake wengi huwa wanaonyesha mapenzi sana kwa waume zao ila wakishazaa mtoto mapenzi huamishia kwa mtoto yani anakuwa hana time nawewe kbsaa hivyo hupelekea wanaume wakatafute huko hicho wanachokikosa