Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,459
- 29,156
Sababu hizi hutoweza kuzisikia kwa Senzo wala MO mwenyewe. Labda wawe wamelewa ndo wanaweza kuropoka, lakini sio wakiwa wazima na akili zao. Hii ni kutokana na Jinsi sababu yenyewe ilivyokaa.
Kuna Mdada, Binti, M Mama anaitwa BARBARA. Huyu ni "msaidizi" wa MO, lakini inawezekana kabisa ni zaidi ya Msaidizi. Na pia kwa sasa ingawa haiko wazi lakini inasemekana huu ndio "Kaimu CEO" pale Simba kwa muda huu.
Binti huyu inasemekana hana Background ya masuala ya Mpira, lakini kutokana na ukaribu wake na MO basi amejikuta amepenya penya mpaka nae amekua katika management ya Club ya Simba
Huyu inasemekana amekua akimfikishia MO habari nyingi kuhusu mambo mbalimbali, ambazo pengine sio zote ni za kweli (Majungu), na vile MO "hapindui" kwa huyu mdada basi amekua akifanyia kazi habari hizo bila hata kuzichunguza.
Waliobaki pale Simba wamekua wakimuogopa huyu Mdada wakiogopa kugombana na MO pale wanapopishana kauli na huyu Binti. Na wakati mwengine Senzo au Staff mwengine pale ambapo akimshitakia Binti huyu kwa MO basi MO humfikishia habari hizo BARBARA ili waangalie wanalitatuaje.
Senzo anaposema ameona anapita njia tofauti na MO, basi ni pale wanaposhindwa kuelewana juu ya BARBARA. Habari hizi ni exclusive kutoka kwa mtu ndani ya Simba S. C. ambae utambulisho wake kwa sasa nauweka kapuni.
Kuna Mdada, Binti, M Mama anaitwa BARBARA. Huyu ni "msaidizi" wa MO, lakini inawezekana kabisa ni zaidi ya Msaidizi. Na pia kwa sasa ingawa haiko wazi lakini inasemekana huu ndio "Kaimu CEO" pale Simba kwa muda huu.
Binti huyu inasemekana hana Background ya masuala ya Mpira, lakini kutokana na ukaribu wake na MO basi amejikuta amepenya penya mpaka nae amekua katika management ya Club ya Simba
Huyu inasemekana amekua akimfikishia MO habari nyingi kuhusu mambo mbalimbali, ambazo pengine sio zote ni za kweli (Majungu), na vile MO "hapindui" kwa huyu mdada basi amekua akifanyia kazi habari hizo bila hata kuzichunguza.
Waliobaki pale Simba wamekua wakimuogopa huyu Mdada wakiogopa kugombana na MO pale wanapopishana kauli na huyu Binti. Na wakati mwengine Senzo au Staff mwengine pale ambapo akimshitakia Binti huyu kwa MO basi MO humfikishia habari hizo BARBARA ili waangalie wanalitatuaje.
Senzo anaposema ameona anapita njia tofauti na MO, basi ni pale wanaposhindwa kuelewana juu ya BARBARA. Habari hizi ni exclusive kutoka kwa mtu ndani ya Simba S. C. ambae utambulisho wake kwa sasa nauweka kapuni.