Mpwehuka
Member
- Jan 16, 2016
- 14
- 2
Habari wana JF!.
Naombeni msaada kuhusu hili nimekua napata muwasho kwenye mrija wa kupitishia mkojo(Uume) siku tatu zilizopita, Chakushangaza leo naamka naona kama usaa kidogo kwenye kwenye Bukta.
Naombeni msaada wenu wakujua hili ni tatizo gani?, Linasababishwa na nini? na nini tiba yake?.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naombeni msaada kuhusu hili nimekua napata muwasho kwenye mrija wa kupitishia mkojo(Uume) siku tatu zilizopita, Chakushangaza leo naamka naona kama usaa kidogo kwenye kwenye Bukta.
Naombeni msaada wenu wakujua hili ni tatizo gani?, Linasababishwa na nini? na nini tiba yake?.
Sent using Jamii Forums mobile app