Mel James
JF-Expert Member
- Jun 23, 2015
- 344
- 241
Habari wadau.
Nasikia kuwashwa baada kukujoa mkojo ila muwasho mkali baada ya kufanya mapenzi ndani ya kwenye njia ya mkojo. Nimeenda hosptali Daktari Kanipa amoxclav.
Leo siku ya tatu nakunywa muwasho upo pale pale naombeni msaada anaejua nasumbuliwa na nini.
Nasikia kuwashwa baada kukujoa mkojo ila muwasho mkali baada ya kufanya mapenzi ndani ya kwenye njia ya mkojo. Nimeenda hosptali Daktari Kanipa amoxclav.
Leo siku ya tatu nakunywa muwasho upo pale pale naombeni msaada anaejua nasumbuliwa na nini.