Nimetembelea miji mingi ya tanzania lakini watu wake wana tabia ya Kuenzi uchafu.Dar-es-Salaam mtu mtanashati anaendesha gari anakunywa maji anatupa chupa barabarani.Mtu haoni aibu anatupa takatakata na watu wanamwangalia,Ukifika kigari kwa tabia ya watanzania mtafungwa kule kila jumanne barabara zote zinafagiliwa,Kanali Massawe amejifunza toka huko naamini Mji wa Bukoba ataurekebisha.Kutokana na tabia ya uchafu wa watanzania sioni faida ya kuadhimisha miaka 50 ya uchafu.Au wana JF mnasemaje? ,vipo visheria vingi mjini lakini havitumiki.Mara ukitupa uchafu faini shillingi 50,000/-lakini yote usanii.Miji yote inasheria lakini watekelezaji ni kama majua.